Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasihi viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia kipindi cha toba cha Ramadhani na Kwaresma kuiombea nchi, viongozi wa serikali na vyama vya siasa ili kuendelea kujenga taifa lenye upendo, amani na mshikamano.
Makamu wa Rais amesema hayo mara baada ya kushiriki futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wa serikali, taasisi za dini na Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyofanyika mkoani Dodoma.
Amesema jambo muhimu ni kuhakikisha hamasa ya mapenzi ya nchi inakuwepo kwa kila mmoja, huku chemchem ya uzalendo ikijengeka katika mioyo ya Watanzania ili waishi kwa kupendana na kushirikiana chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Aidha, Makamu wa Rais amesema moja ya mambo muhimu ya kufanya katika kipindi cha toba ni kumwahidi Mwenyezi Mungu kuwa kila Mtanzania atajitahidi kuwaunganisha Watanzania wenzake ili kuijenga nchi kuwa taifa moja lenye upendo.
Futari hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, Waziri wa Madini Anthony Mavunde, wajumbe wa Kamati ya Maridhiano, viongozi wa dini, wabunge wa Mkoa wa Dodoma, wakuu wa wilaya pamoja na wananchi.
Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasihi viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia kipindi cha toba cha Ramadhani na Kwaresma kuiombea nchi, viongozi wa serikali na vyama vya siasa ili kuendelea kujenga taifa lenye upendo, amani na mshikamano.
Makamu wa Rais amesema hayo mara baada ya kushiriki futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wa serikali, taasisi za dini na Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyofanyika mkoani Dodoma.
Amesema jambo muhimu ni kuhakikisha hamasa ya mapenzi ya nchi inakuwepo kwa kila mmoja, huku chemchem ya uzalendo ikijengeka katika mioyo ya Watanzania ili waishi kwa kupendana na kushirikiana chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Aidha, Makamu wa Rais amesema moja ya mambo muhimu ya kufanya katika kipindi cha toba ni kumwahidi Mwenyezi Mungu kuwa kila Mtanzania atajitahidi kuwaunganisha Watanzania wenzake ili kuijenga nchi kuwa taifa moja lenye upendo.
Futari hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, Waziri wa Madini Anthony Mavunde, wajumbe wa Kamati ya Maridhiano, viongozi wa dini, wabunge wa Mkoa wa Dodoma, wakuu wa wilaya pamoja na wananchi.
Nchimbi, hizi ni kauli za kitoto, kitotot na kinafiki kabisa. Hakuna cha kuomba hapa, ni nyinyi mliojivika madaraka kuacha kutenda maovu! Mfano, kulikuwa na sababu gani polisi kuwapiga Bawacha? Umekemea? Kwanini mnamuweka Lisu gerezani bila sababu? Halafu unasema kuomba! Kuomba kwetu ni kuingia "msituni" kupigania haki!
Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasihi viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia kipindi cha toba cha Ramadhani na Kwaresma kuiombea nchi, viongozi wa serikali na vyama vya siasa ili kuendelea kujenga taifa lenye upendo, amani na mshikamano.
Makamu wa Rais amesema hayo mara baada ya kushiriki futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wa serikali, taasisi za dini na Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyofanyika mkoani Dodoma.
Amesema jambo muhimu ni kuhakikisha hamasa ya mapenzi ya nchi inakuwepo kwa kila mmoja, huku chemchem ya uzalendo ikijengeka katika mioyo ya Watanzania ili waishi kwa kupendana na kushirikiana chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Aidha, Makamu wa Rais amesema moja ya mambo muhimu ya kufanya katika kipindi cha toba ni kumwahidi Mwenyezi Mungu kuwa kila Mtanzania atajitahidi kuwaunganisha Watanzania wenzake ili kuijenga nchi kuwa taifa moja lenye upendo.
Futari hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, Waziri wa Madini Anthony Mavunde, wajumbe wa Kamati ya Maridhiano, viongozi wa dini, wabunge wa Mkoa wa Dodoma, wakuu wa wilaya pamoja na wananchi.
Anatakiwa aeleze kiundani nchi iombewe kwenye aspect gani ili tujenge hoja yenye mashiko mbele za Mungu na kama tutabaini kwa jicho la kiroho kwamba hoja ya MAOMBI yenyewe itaishia kwenye dust bin huo muda ni heri tufanye mambo mengine tu
Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasihi viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia kipindi cha toba cha Ramadhani na Kwaresma kuiombea nchi, viongozi wa serikali na vyama vya siasa ili kuendelea kujenga taifa lenye upendo, amani na mshikamano.
Makamu wa Rais amesema hayo mara baada ya kushiriki futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wa serikali, taasisi za dini na Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyofanyika mkoani Dodoma.
Amesema jambo muhimu ni kuhakikisha hamasa ya mapenzi ya nchi inakuwepo kwa kila mmoja, huku chemchem ya uzalendo ikijengeka katika mioyo ya Watanzania ili waishi kwa kupendana na kushirikiana chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Aidha, Makamu wa Rais amesema moja ya mambo muhimu ya kufanya katika kipindi cha toba ni kumwahidi Mwenyezi Mungu kuwa kila Mtanzania atajitahidi kuwaunganisha Watanzania wenzake ili kuijenga nchi kuwa taifa moja lenye upendo.
Futari hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, Waziri wa Madini Anthony Mavunde, wajumbe wa Kamati ya Maridhiano, viongozi wa dini, wabunge wa Mkoa wa Dodoma, wakuu wa wilaya pamoja na wananchi.
We understand Nchimbis dillema.
Hapo inabidi viongozi wajiombee wenyewe!
Kama kuna nuksi imeingia nchini ni Oktoba 29, hapo hakuna Mtanzania anaweza kukuombea kwa moyo usio na unafiki.
Wajiombee wenyewe na kutubu kw mauaji!