KIJICHO PEVU
Member
- May 4, 2024
- 69
- 49
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. Emanuel Nchimbi, alivyowasilia jijini Mwanza kwaajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Dkt. Nchimbi ataanza kampeni zake katika wilaya ya Kwimba, uwanja wa Ngudu mjini ambapo atafanya Mkutano Mdogo wa hadhara, baadae atapita wilaya ya Misungwi, Buhongwa akiwa anaelekea kwenye mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika viwanja vya Furahisha.
Dkt. Nchimbi ataanza kampeni zake katika wilaya ya Kwimba, uwanja wa Ngudu mjini ambapo atafanya Mkutano Mdogo wa hadhara, baadae atapita wilaya ya Misungwi, Buhongwa akiwa anaelekea kwenye mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika viwanja vya Furahisha.