GE2025 Dkt. Nchimbi alivyowasili jijini Mwanza tayari kuanza kampeni Kanda ya Ziwa

GE2025 Dkt. Nchimbi alivyowasili jijini Mwanza tayari kuanza kampeni Kanda ya Ziwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

KIJICHO PEVU

Member
Joined
May 4, 2024
Posts
69
Reaction score
49
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. Emanuel Nchimbi, alivyowasilia jijini Mwanza kwaajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Dkt. Nchimbi ataanza kampeni zake katika wilaya ya Kwimba, uwanja wa Ngudu mjini ambapo atafanya Mkutano Mdogo wa hadhara, baadae atapita wilaya ya Misungwi, Buhongwa akiwa anaelekea kwenye mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika viwanja vya Furahisha.

 
Nko apa watu wako pembeni ya barabara hawana time...wanapungiwa mkono wao wanajibu kwa kuonesha vidole viwili
 
Wameanza maandalizi ya kuwasomba watu kwenye malori ya kubeba ng'ombe kupeleka kwenye minada. Huko sengerema, nyehunge, sima, igulumuki, Buzilasoga, ijinga, ng'wabagalu, kasomeko, kabusungu, Luchili, Lubanga na maeneo mengine watu wanagawiwa chumvi, mandazi na khanga ili wapande hayo magari
 
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. Emanuel Nchimbi, alivyowasilia jijini Mwanza kwaajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Dkt. Nchimbi ataanza kampeni zake katika wilaya ya Kwimba, uwanja wa Ngudu mjini ambapo atafanya Mkutano Mdogo wa hadhara, baadae atapita wilaya ya Misungwi, Buhongwa akiwa anaelekea kwenye mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika viwanja vya Furahisha.

Hakuna jipya..Mimi niko shamba huku nalima matembele
 
TYSON ANATAKA KUPIGANA NA EVANDER HOLIFIELD ( HUKU AMENG'ATWA SIKIO). REFA LAZIMA ASIMAMISHE MCHEZO NA KUMUONDOA TYSON ULINGONI MAANA AMEKUWA MANIAC.. ndicho kinacho endelea sasa kwa ccm na vyama pinzani kama chadema.
 
Back
Top Bottom