Tusione aibu tumwombe Dr Mwale aje kuongeza nguvu kwenye hili janga, huyu taaluma yake Ni utafiti wa vimelea, tumrudishe Amref afanye kazi ya ku coordinate control za hili janga.
Hawa waliopo naona ka wamekata network, Mara naweni Mara vaa baragashia Mara mlale bwenini,
Tunahitaji kuambiwa characteristic ya huyu mdudu kwa kufanya research za hapa kwetu, Sasa hivi tunaanza na kuwasingizia wazururaji kuwa ndio wanaoeneza
Hawa waliopo naona ka wamekata network, Mara naweni Mara vaa baragashia Mara mlale bwenini,
Tunahitaji kuambiwa characteristic ya huyu mdudu kwa kufanya research za hapa kwetu, Sasa hivi tunaanza na kuwasingizia wazururaji kuwa ndio wanaoeneza