JamiiCheck
JF-Expert Member
- Nov 3, 2023
- 213
- 226
Ujumbe wa Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango alioutoa Agosti 11, 2025 katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi uliofanyika mkoani Kilimanjaro, unatukumbusha kuwa makini dhidi ya Taarifa Potofu mtandaoni hasa wakati wa uchaguzi.
Ni muhimu kuthibitisha uhalisia wa kila Taarifa unayoipata mtandaoni ili kufanya maamuzi yenye tija kutokana na Taarifa Sahihi.
Kupata msaada wa uthibitishaji wa taarifa tembelea Jukwaa la JamiiCheck.com kisha wasilisha taarifa husika ili kupata uhalisia kwa wakati.
Ni muhimu kuthibitisha uhalisia wa kila Taarifa unayoipata mtandaoni ili kufanya maamuzi yenye tija kutokana na Taarifa Sahihi.
Kupata msaada wa uthibitishaji wa taarifa tembelea Jukwaa la JamiiCheck.com kisha wasilisha taarifa husika ili kupata uhalisia kwa wakati.