AFRIKAMOJA
Member
- Aug 11, 2022
- 30
- 37
Leo tarehe 22/09/2022 saa Nne na Dakika 40 Usiku Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango atahutubia Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 2022),NewYork,Marekani.