Hakuna cha kujifukiza zaidi ni kupatiwa chanjo tukuna tatizo mahali.......wacha nkajipige MSUBA,,,, TUJIKINGE WANDUGU,,,,,, kila mtu na wakwao....hili DUBWANA CORONA.... ni hatari usiombee...jifukize....wewe na wakwako.....maisha matamu MNO....
Nakupata mkuu,tuko pamoja sisi furaha yetu hawa fisi watifuane tuMie siyo sehemu ya serikali maana naichukia ccm kuliko kitu chochote
Na ile pua yake kama mkoma vileAnajivunia kipara
Ujinga mtupu,Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.
Ngoja wafutwe kwenye ulimwengu wa siasa kama Bwana Daud Albert Bashitenajua hata hili pia gwajibwai ataibuka mshindi
maana huyu jamaa hajawahi kushindwa vita vyovyote vile
Niliandika hapa juzijuzi haya sasa leo jumapili huko kanisani Gwaji boy kaendeleza kuupiga mwingi! Bado kuna watu mna mashaka na hii comment yangu hapo juu👆🏼👆🏼👆🏼Huyo Mollel ni bwana mdogo sana kwa Gwajima na hawezi kumfanya kitu
Mollel katupiga sound
Umesikia leo huko kanisani?Wacheni kumkweza Gwajima wakati hana lolote
Wewe kama unaungana na Gwajima kamwe hatuwezi kuwa na mashaka na uamuzi wako.Niliandika hapa juzijuzi haya sasa leo jumapili huko kanisani Gwaji boy kaendeleza kuupiga mwingi! Bado kuna watu mna mashaka na hii comment yangu hapo juu
ni hiariNi hiari ya mtu