Naona mjukuu wa Dr Nagu unataka mrija wa asali upitie na kwenu ulambe nawewe..... umesikika!Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague
Akumbukwe ili iweje?? Kwani anatija gani kwenye taifa hili? Kwani Yeye ndie msomi pekee kwenye hii nchi?? zama zake zimepita, waibuliwe na wengine. Merry Nagu Hana mchango wowote!!akalee wajukuu.Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Wewe Una mchango gani kwa taifa lipi?Akumbukwe ili iweje?? Kwani anatija gani kwenye taifa hili? Kwani Yeye ndie msomi pekee kwenye hii nchi?? zama zake zimepita, waibuliwe na wengine. Merry Nagu Hana mchango wowote!!akalee wajukuu.
Hiyo mikweche yote iwekwe pembeniIkiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Yaani ameenda straight to the point na kama vile anadai haki yakeMary nagu anapoamua kujilipua!
Huo mchango aliutoa bure? Si alilipwa? So what?Mchango anao tena mkubwa sana. TASAF unayoiona leo ni matokeo ya kazi na ubunifu wake. Kuhusu kuibuliwa wengine hii sasa ndio hoja ya msingi ya serikali kuifanyia kazi.
Kuna watu wamepewa dhamana kama alivyopewa yeye, wamekuwa wanufaika wa kodi za wananchi kwa miongo kadhaa na bado hawana lolote la kujivunia. Jaribu kumpa heshima yake kwa walau machache aliyoyafanya. TBL na sigara na makampuni mengine ni sehemu ya kazi kubwa alizozifanyaHuo mchango aliutoa bure? Si alilipwa? So what?
Halafu kesho tuu unarudi na Uzi hapa JfIkiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
JK? Ni sumaye, amemla Sana na kwa kuwa mume wake alikuwa mlevi, jamaa alikuwa anajipigia tu.Sema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana
Jk alikua anakamatia miguuJK? Ni sumaye
Alitimiza wajibu wake kama mtumishi na ndivyo inavyotakiwa.Kuna watu wamepewa dhamana kama alivyopewa yeye, wamekuwa wanufaika wa kodi za wananchi kwa miongo kadhaa na bado hawana lolote la kujivunia. Jaribu kumpa heshima yake kwa walau machache aliyoyafanya. TBL na sigara na makampuni mengine ni sehemu ya kazi kubwa alizozifanya
Kweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu.Sema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana