Dkt. Magufuli ndiye Yohana Mbatizaji

Dkt. Magufuli ndiye Yohana Mbatizaji

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,572
Reaction score
16,047
Nyerere alituunganisha.
Mwinyi akatufungua macho
Mkapa alijenga uchumi
Kikwete aliletwa ili kumuandaa Yohana Mbatizaji (Dr Johnn Magufuli).

Dr Magufuli ndiye atakayetunyoshea njia, atasimamia utawala wa sheria. Atawanyoosha watanzania wazembe wazembe.

Mungu ambariki sana, hii vita lazima CCM tushinde maana Mungu yupo upande wetu!
 
Yohana alisemaje? Mbona humalizii?
 
Nyerere alituunganisha.
Mwinyi akatufungua macho
Mkapa alijenga uchumi
Kikwete aliletwa ili kumuandaa Yohana Mbatizaji (Dr Johnn Magufuli).

Dr Magufuli ndiye atakayetunyoshea njia, atasimamia utawala wa sheria. Atawanyoosha watanzania wazembe wazembe.

Mungu ambariki sana, hii vita lazima CCM tushinde maana Mungu yupo upande wetu!
Unamaanisha Magufuli kaja kumtengenezea njia Lowassa. Maana Yohana mbatizaji alimtengenezea njia Yesu.
 
Nyerere alituunganisha.
Mwinyi akatufungua macho
Mkapa alijenga uchumi
Kikwete aliletwa ili kumuandaa Yohana Mbatizaji (Dr Johnn Magufuli).

Dr Magufuli ndiye atakayetunyoshea njia, atasimamia utawala wa sheria. Atawanyoosha watanzania wazembe wazembe.

Mungu ambariki sana, hii vita lazima CCM tushinde maana Mungu yupo upande wetu!

Nakubaliana na wewe mkuu,unajua yohana alikuja kuandaa enzi ya yule ambaye hakuwa na uwezo wa kufungua hata gidamu za viatu vyake.Vivyo hivyo Magufuri anapiga push up kuandaa enzi ya Lowasa tarehe 25.
 
Nyerere alituunganisha.
Mwinyi akatufungua macho
Mkapa alijenga uchumi
Kikwete aliletwa ili kumuandaa Yohana Mbatizaji (Dr Johnn Magufuli).

Dr Magufuli ndiye atakayetunyoshea njia, atasimamia utawala wa sheria. Atawanyoosha watanzania wazembe wazembe.

Mungu ambariki sana, hii vita lazima CCM tushinde maana Mungu yupo upande wetu!

unakumbuka hatima ya yohana mbatizaji..?kama magufuli ni yohana mbatizaji basi asubiri kukatwa kichwa and not viceversa.
 
Nyerere alituunganisha.
Mwinyi akatufungua macho
Mkapa alijenga uchumi
Kikwete aliletwa ili kumuandaa Yohana Mbatizaji (Dr Johnn Magufuli).

Dr Magufuli ndiye atakayetunyoshea njia, atasimamia utawala wa sheria. Atawanyoosha watanzania wazembe wazembe.

Mungu ambariki sana, hii vita lazima CCM tushinde maana Mungu yupo upande wetu!
Nimekubali mkuu huyu ni Yohana mbatizaji anaeandaa njia kwa ajae ambae hawezi hata kulegeza gidamu za viatu vyake. Yohana anabatiza kwa maji lakini yeye ajae hubatiza kwa roho mtakatifu na huyo si mwingine ni Lowasa .
 
Back
Top Bottom