Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,513
- 2,196
==
Ukimsikiliza vizuri Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila ukamsikiliza na huyu Dkt Bravious Kahyoza utagundua hawa jamaa wanamadini sana vichwani mwao tutake tukatae.
Hapa Dkt Bravious Kahyoza anasema kama Serikali itakuwa serious na Ubia basi itapunguza kitu linaitwa Fiscal hole au black hole ya Serikali kwani Miradi Mingi hasa ya kibiashara itabebwa na Sekta binafsi na hivyo kupunguza hii nakisi ya bajeti ya Serikali.
Msikilize mpaka mwisho,
Ukimsikiliza vizuri Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila ukamsikiliza na huyu Dkt Bravious Kahyoza utagundua hawa jamaa wanamadini sana vichwani mwao tutake tukatae.
Hapa Dkt Bravious Kahyoza anasema kama Serikali itakuwa serious na Ubia basi itapunguza kitu linaitwa Fiscal hole au black hole ya Serikali kwani Miradi Mingi hasa ya kibiashara itabebwa na Sekta binafsi na hivyo kupunguza hii nakisi ya bajeti ya Serikali.
Msikilize mpaka mwisho,