Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Na huko Mtwara kuna nini ?!
Mara moshi mara ajali ya gari sita kwa mpigo kama vile madereva walikuwa wanaendesha magari yao huku wamefumba macho tena yasiyokuwa na Breki !!
Salaaleeh Ntwara kuchelle ππ³ !!
wabongo tujifunze, wakati tunatafuta maisha tutafute Mungu pia, mali tutaziacha hata kama tukiibia sana nchi, zitabaki hapahapa, utakwenda na maji siku moja.