jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,204
- 36,153
Tishio la usalama Liko Tanganyika , mpaka ndizi zinaibiwa
View attachment 2907368
Jitoe akili gaidi
Tishio la usalama Liko Tanganyika , mpaka ndizi zinaibiwa
View attachment 2907368
Zenji barDr. Mwinyi, nilikueleza Democracy inamipaka yake. Hata last time tulipoonana.
Ukiendelea ku smile utavuruga amani ya ZNZ. Watu wachache watakutia doa.
Wewe ni Rais kijana mwema na mwenye busara, hata tulipokuwa tunasoma Egypt , ndio upo hivyo, ila haiondoi uhalisia wewe ni Rais , and at some point you have to exercise your authority and power.
Kuna namna nyingi ya kuzoofisha watu hawa, moja wapo ni kuwatia umasikini. Freeze AC zao zote , unda kamati ya kufuatilia mienendo ya hao watu : chukua passport zao , wasitoke
Nje ya ZNZ bila ya kibali.
Duru zimeonesha kuna mkakati wa kuondoa legecy yako na mabadiliko makubwa uliyofanya ZNZ.
Baadhi ya viongozi ZNZ walishazoea kuishi kifisadi, halifahamiki kwa sabahu ZNZ ni nchi ndogo na mambo mengi bado yapo kijima na ndio hao wanataka kukuangusha.
Hata mkakati wa kufanya harmonization ya TRA na Zanzibar Revenue Authority hawautaki kwa sababu wamezoea kuingiza magendo bure , na kutoa mizigo kwa bei chee na kwa kutaja majina tu.
Hawa watu wafanywe mfano once and for all .
USA, haikushindwa kumuondoa JFK Silently but they did publicly ili to leave the lesson behind kwa yoyote.
Ushauri namna ya kuwapa discipline upo hapa chini;
Ipo Shida kwa SIMAI, Dr Mwinyi, Democracy inamipaka yake
Ipo Shida kwa SIMAI, Dr Mwinyi, Democracy inamipaka yake
Watu kama Adolf, JPM, Putin, Cuba na China huwa hawaamini katika democracy hasa linapokuja suala la kuongoza mamilioni. Ni lazima only selected people the elite ndio wawe na sauti. SIMAI , anakosa nidham mbele ya Rais, kitendo cha kujibu hotuba ya Rais Leo , ninajiuliza huyu alikuwaje waziri...www.jamiiforums.com
Acha mkwaraTunawatu wetu kila mahali usitie shaka Maalim. Hata wale waliotaka kuhujumu uchaguzi ile timu ya Edo , ndani yake tulikuwa na watu wetu . Maslahi ya Taifa ni mapana kuliko individual interest
Kwahiyo bahari wanayo znz tu? Huku bara hakuna bahari?Ngumu ku control mipaka ya Bahari
Yaani ulisahau kucheka?!!!!!😆😆😆😆
Itakuwa yule mwizi wa ndizi ni weweJitoe akili gaidi
Hahahaaa! Bara kwa kujisifù ujinga,Hawana capacity ya kulinda
That is why we are there