The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Ningependa kumkumbusha rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Mwinyi kuwanunulia watoto wa maskin, mayatima na wasiojiweza viatu vya kuendea shule.
Nakukumbuka enzi za utawala wa Dr. Shein nilipokua primary alikua anagawa viatu shule zote za Zanzibar kuanzia primary hadi secondary.
Leo nayasema haya baada ya kufanya tafiti ya mda mrefu watoto wengi hasa shule za shamba wanaenda shule bila viatu jambo ambalo halileti picha nzur kwa serekali yako.
Sio kwamba watoto hawa hawataki kuvaa viatu au uniform mpya ila wamekosa kutokana na wazazi kukosa uwezo.
Asante sana
Mwananchi wako
CEO the Zanzibar Echo
Nakukumbuka enzi za utawala wa Dr. Shein nilipokua primary alikua anagawa viatu shule zote za Zanzibar kuanzia primary hadi secondary.
Leo nayasema haya baada ya kufanya tafiti ya mda mrefu watoto wengi hasa shule za shamba wanaenda shule bila viatu jambo ambalo halileti picha nzur kwa serekali yako.
Sio kwamba watoto hawa hawataki kuvaa viatu au uniform mpya ila wamekosa kutokana na wazazi kukosa uwezo.
Asante sana
Mwananchi wako
CEO the Zanzibar Echo