Dkt. Bashiru: CCM haiwezi kuiba kura, chama kinakubalika na kina viongozi wenye sifa

Ushindi wa kisiasa hutanguliwa na umahili wa kimkakati, kimbinu, na kiuwezo. Sasa CDM, ACT, CUF, nk bakini kulialia - mkifeli kudhibiti vitu hivyo lzm mbaki kundi la waombolezaji

Change it yourself!
Na wewe pia ni mwombolezaji ambaye unajifariji kwa mapambio ya ushindi feki usiokuwa na tija kwako na kwa watanzania kwa ujumla.
 
Kuna viashiria vinavyoonyesha CCM wanaiba kura na sehemu ingine walinyang`anya ushindi hasa Uchaguzi uliopita, walioshindwa kama vile Mtwara ni CCM ilitaka hao washindwe kwa sababu inayojua CCM yenyewe na sisi wa Mtwara tunazijua.

VIASHIRIA - au Indicators huwa zinatoa mwelekeo , viashiria huwa havidanganyi Mh. Bashiru ALLY

CCM huwa haishindi kihalali kwa viashiria vifuatavyo:

1. Kujaza form za kuteuliwa CCM huwa haikosei ila wapinzani tu ndo form zao huwa zinakosewa, kitu hicho scientist philosopher yoyote hakubali bali ni namna tu ya udanganyifu kwa upande wa CCM.

2. Uchaguzi wa serikali za mtaa uliopita hamna Uchaguzi kama huo hapa duniani, ni kichekesho tu.

3. CCM inatumia sana Polisi je! kama inapendwa kwa nini itumie Polisi kiasi hicho?

4. OCD Hai alisema Mbowe ameshindwa kabla ya hata Uchaguzi , alijuaje?

5. Mtwara vijijini jimbo la Mh Hawa Ghasia Mh. huyu alishinda vituo vyote vyote vyote lakini alitangazwa ameshindwa hii peke yake inaonyesha matokeo yalikuwa ya ku-differenciate na integrate (integral calculus)

Nina sababu lukuki kuonyesha CCM wanachapia hizo kwa leo zinatosha.
 
Kwa dada Aidan Khenan kulikua na ulinzi upi makini zaidi ulioshindwa kuwepo kwa manguli wa siasa kwa wapinzani kama Zito,Sugu,Lema,mpaka CCM wakashindwa kuiba kura?
 
Ukiona uchaguzi chama kimoja kinashinda kwa asilimia zaidi ya 80 ujue kuna shida mahali. Hakuna jamii yenye uelewa ambayo watu 8 kati ya 10 wanachagua sawa sawa, haipo.
Niltegemea 75-25, na wakongwe waited (mbowe msigwa zitto sugu godbless). Ni kweli wangepita, alipoingia tundulissu akatibua kila kitu.
 
Back
Top Bottom