Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,494
- 37,786
Kaskazini Magharibi.Mkoa wa Bukoba uko sehemu gani katika Tanzania wakuu?
Kaskazini Magharibi.Mkoa wa Bukoba uko sehemu gani katika Tanzania wakuu?
Wamechukuliwa hatua gani?Akiwa mkoani Bukoba, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi...
Kuna tatizo kubwa sana kwenye mamlaka za uteuziAkiwa mkoani Bukoba, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi...
Mkoa wa Bukoba umetoka wapi?Akiwa mkoani Bukoba, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi...
Utawala katili kabisaAkiwa mkoani Bukoba, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi...
Wanajua hakuna mamlaka ya kuwachukulia hatuaHao watendaji wa serikali, wamelewa madaraka...........
How comes watoe adhabu ambayo wanajua fika kuwa inakiuka sheria za nchi hii?
Nimefrahi Sana, Mungu ambariki Dr. Bashiru,inastikisha sana hawa viongozi Wa sasa,yaani wanaona kudharilisha watu eti ndo utendaji Nazi,hivi kwanini wahanga Wa haya matukio hawaendi mahakamani kushitaki?
Mheshimiwa rais anapaswa kuwa makini sana katika kuteua viingozi Wa government, maana wengi wao wamejawa mihemko bila kutumia hekima
Wakati uzi wa ma dc kuwachapa viboko watu mliwasifia kwa mapambio. Leo mwana ccm wemu kawakataza mnamsifia kama kawaida yenu.Maneno ya busara Sana hayo.
Yeye mwenyewe anatamani kuwachapa kama anasema anatukuna mawaziri wazee wazima unategemea nini?Sasa Rais yuko wapi kuwakemea hao wateule wake?Amewachukulia hatua gani?kukaa kwake kimya au kutochukua hatua maana yake anaunga mkono vitendo hivyo!
Mi natanani hadi Magufuli aanze kuchapa bakora tenaa anze na hapo Lumumba.Kitendo cha viongozi wa serikali tena wateule wa Rais kuchapa raia viboko ni viongozi hao kukosa weledi wa uongozi, kujitafutia kiki na mwisho wa yote ni kumfitinisha Rais na wananchi jambo hili likemewe kwa nguvu zote
Wewe huyu JPM kufitinishwa?? mbona kwa akili yake ndogo ndivyo anavyotaka! Kutesa. kuteka, kuaibisha, kuua anafurahi sana. Ben saanane alifia ikulu! mbele yake! Ally Hapi na Bashite iko siku yenuKitendo cha viongozi wa serikali tena wateule wa Rais kuchapa raia viboko ni viongozi hao kukosa weledi wa uongozi, kujitafutia kiki na mwisho wa yote ni kumfitinisha Rais na wananchi jambo hili likemewe kwa nguvu zote
Kitendo cha viongozi wa serikali tena wateule wa Rais kuchapa raia viboko ni viongozi hao kukosa weledi wa uongozi, kujitafutia kiki na mwisho wa yote ni kumfitinisha Rais na wananchi jambo hili likemewe kwa nguvu zote
Watu hatutaki maneno tunataka vitendo kama kweli wamechukizwa wawawajibishe hii nchi sio kila mtu alalamikeUkiona Dr Bashiru kaongea jua washawasiliana na boss wake