battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,672
- 2,540
Suala la kuwageuza walemavu kitega uchumi kwa kuwa mba omba kisha mapato achukue tajiri hili ni zaidi ya unyama.
Walistahiki kunyongwa na si viboko tuu.
Hivi viboko ni bashraf tuu ,hawajapelekwa mahakamani , na pengine mahakama iseme hawana hatia , au waambiwe walipe fine au wafungwe miezi 6 tuu.
Yu see
Walistahiki kunyongwa na si viboko tuu.
Hivi viboko ni bashraf tuu ,hawajapelekwa mahakamani , na pengine mahakama iseme hawana hatia , au waambiwe walipe fine au wafungwe miezi 6 tuu.
Yu see