Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Heri kitu kuliko kukosa kitu bora kapata hata ubunge.
 
Hapo ndiyo tujue sasa kuwa Mungu yupo hai muda wote kuwalinda viumbe wake.

Hapo alipo ndiyo analipwa kwa aliyo yafanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Bado Polepole naye asubirie adhabu yake inakuja kwa maneno yake ya shobo kwa watanzania kisa anatembelea viii eightiiiii
 
Tamaa ilimuua mzee fisi!
Mtaka mawili moja humponyoka! (au huponyokwa na yote 😀 )
 
Weka na ya Mbowe akiwa Dubai.
Lioneni hili CHOKO la Lumumba nalo, likilala Mbowe likiamka CHADEMA.
Kwani Samia amemteua Mbowe kwenda Dubai...?! Watoto sio riziki mnasumbua sana humu.
 
Lioneni hili CHOKO la Lumumba nalo, likilala Mbowe likiamka CHADEMA.
Kwani Samia amemteua Mbowe kwenda Dubai...?! Watoto sio riziki mnasumbua sana humu.
Hiyo ndio picha ya Mbowe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…