Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,227
- Thread starter
-
- #41
Kweli kabisa mkuu.Umemaliza kila kitu Mkuu Jidu La Mabambasi πππ
Tutaongea vyote lakini tatizo liko pale pale, Ucheleweshaji wa malipo.
Tatizo la Wizara ya Maji inaidhinishiwa Bajeti na Bunge labda 820B lakini zinazotolewa hazizidi 300B, mwisho wa siku lawama zinakwenda kwa Watendaji eti Vilaza.
Wanadhani utatumika muujiza gani kutekeleza miradi pasipo na fedha kutolewa kwa wakati?
Zamani wasimamizi wa miradi walikuwa wanapewa hela ya kusimamia ~Supervision siku hizi unakuta hakuna hela za Supervision wanapata, inafikia muda Project Manager hawezi kwenda site kwa kukosa Dizeli au hata Usafiri. Kwa muktadha huu ni ngumu kupata matokeo Chanya kwenye Sekta.
Ukitaka kuona hili angalia miradi ya Tanroads, unakuta jamaa wana magali hata 3 kwenye mradi mmoja then angalia ya Maji uone kichekesho.
Me nadhani matatizo ya Sekta ya Maji yanatengenezwa kutoisha ili kuwafanya Watawala waendelee kupata Kura za kwenye Chaguzi zao.
Ni kweli, haya matatizo ya Sekta yanatengenezwa. Solution zipo lakini wameamua kukaa kimya.Ukiona mwanasiasa anatafuta mchawi wa kumsukumia lawama kwa kushindwa mradi, eti ni mkandarasi, ujue kashindwa kazi!
Ni kweli, walichoweza wa Ujenzi licha ya mazingira yao ya kazi kuboreshwa lakini pia wameweza sana kujitenga na Siasa.Kweli kabisa mkuu.
Halafu utafikiri haya matatizo wanasiasa hawayaoni.
Ndiyo maana tunaisfia Wizara ya Ujenzi na kuiponda hii ya Maji katika kutekeleza miradi kwa weledi.
Ha ha ha!Ni kweli, walichoweza wa Ujenzi licha ya mazingira yao ya kazi kuboreshwa lakini pia wameweza sana kujitenga na Siasa.
Sekta ya Maji na Siasa ni kama Uji na Mgonjwa π
A good way forward.Ni kweli, haya matatizo ya Sekta yanatengenezwa. Solution zipo lakini wameamua kukaa kimya.
Ni suala la kuita kikao na Makandarasi wa miradi ya Maji then wanakupa hints
Baadaye unaitisha kikao na Wataalamu wa Sekta watakupa changamoto zao
Mchawi wa miradi ya Maji anajulikana
Nakupe heko kwa maelezo yako. Ila ningeomba labda utumegee matatizo ya wizara, mashirika, na wandarasi katika hii sekta ya maji. Mimi nimeshuhudia miradi miongi ya maji kufa, na hii ni tangu wakati wa serkali ya hayati mwalimu. Miradi hii ilihujumiwa na viongozi wakishirikiana na viongozi, lakini hata raia nao walihusika katika kuhujumu miundo mbinu ya miradi. Mfano wangu ulikuwa sehemu fulani ambao wananchi walikuwa wanachimua mabomba kutengeza bangili za wakina mama. Kuna sehemu nyingi mkandarasi alipewa kuchimba lambo, lakini akaishia kuchimba shimo tu, akachukuwa pesa akaambaa (huenda alishirikiana na viongozi) na hadi leo hata shimo halipo.View attachment 1720724
Kama kuna Wizara ngumu kwa makandarasi nchi hii, basi ni Wizara Ya Maji.
Wizara hii haijielewi katika fani ya ujenzi.
Matatizo waliyonayo wizara hii ni tofauti kabisa na wizara nyingine.
Ni ukweli usiopingika kuwa Makandarasi wabobezi na wanaojielewa hawachukui kazi za Wizara ya Maji.
Ukitaka kupigwa Tanganyika Jacki na mwanasiasa basi unachukua kazi za Wizara hii.
Wizara ya Maji kuna uozo mwingi sana katika procurement za miradi yake ya Ujenzi.
Miradi mingi haina design(usanifu) za kina.
Miradi mingi ya Maji haina fedha za miradi na zikiwepo hazifiki kwa walengwa.
Sababu rahisi za kujieleza kwenye uso wa umma ni kuwalaumu makandarasi!
Hatuoni tarumbeta hizo na visingizio kwenye miradi inayotekelezwa kwenye wizara zinazojielewa kama Wizara ya Ujenzi na TANROADS.
Wizara ya Maji imelalamikiwa sana juu ya very poor Project Management katika idara ake zote, ile kumlaumi mkandarasi kwa kiasi fulani kinaeleza kushindwa kwa mwenye mradi(Wizara ya Maji) kwa ujumla.
Mtu usipojua kuendesha baiskeli, na inakuangusha kila mara, njia rahisi kujieleza ni kusema baiskeli ni mbovu.
Lakini kiuhalisia wengine wanaendesha baiskeli hiyo kwa weledi tu, haiwaangushi, tatizo ni kukubali kuwa hujui kuendesha baiskeli!
Ndiyo wizara yetu ya Maji
Sasa tukiona magazetini, hasa gazeti la serikali Daily News, ati Msemaji wa Serikali naye anaingia mkumbo wa kutoelewa kiini cha tatizo, ndo lile lile linaitwa passing the buck!
Dkt. Abbas changa la macho hilo!!
Declare your interest tafadhali!View attachment 1720724
Kama kuna Wizara ngumu kwa makandarasi nchi hii, basi ni Wizara Ya Maji.
Wizara hii haijielewi katika fani ya ujenzi.
Matatizo waliyonayo wizara hii ni tofauti kabisa na wizara nyingine.
Ni ukweli usiopingika kuwa Makandarasi wabobezi na wanaojielewa hawachukui kazi za Wizara ya Maji.
Ukitaka kupigwa Tanganyika Jacki na mwanasiasa basi unachukua kazi za Wizara hii.
Wizara ya Maji kuna uozo mwingi sana katika procurement za miradi yake ya Ujenzi.
Miradi mingi haina design(usanifu) za kina.
Miradi mingi ya Maji haina fedha za miradi na zikiwepo hazifiki kwa walengwa.
Sababu rahisi za kujieleza kwenye uso wa umma ni kuwalaumu makandarasi!
Hatuoni tarumbeta hizo na visingizio kwenye miradi inayotekelezwa kwenye wizara zinazojielewa kama Wizara ya Ujenzi na TANROADS.
Wizara ya Maji imelalamikiwa sana juu ya very poor Project Management katika idara ake zote, ile kumlaumi mkandarasi kwa kiasi fulani kinaeleza kushindwa kwa mwenye mradi(Wizara ya Maji) kwa ujumla.
Mtu usipojua kuendesha baiskeli, na inakuangusha kila mara, njia rahisi kujieleza ni kusema baiskeli ni mbovu.
Lakini kiuhalisia wengine wanaendesha baiskeli hiyo kwa weledi tu, haiwaangushi, tatizo ni kukubali kuwa hujui kuendesha baiskeli!
Ndiyo wizara yetu ya Maji
Sasa tukiona magazetini, hasa gazeti la serikali Daily News, ati Msemaji wa Serikali naye anaingia mkumbo wa kutoelewa kiini cha tatizo, ndo lile lile linaitwa passing the buck!
Dkt. Abbas changa la macho hilo!!
Thank you. Excellent analysis.Kwa uelewa wangu mdogo ( as a layman) Jidu la Mabambasi( kwenye field ya Civil Engineering, matizo mengi ktk miradi yatasababisha na uzembe wa either parties, such as Client,or Engineer or Contractor. Kila party lazima iwe inawajibika ipasavyo kuanzia kwenye Design na Contract documentation, correct procurement process, competent supervision, smooth , and proper project financing including timely payments of contractor, service ,material supplier etc, according Conditions of contract ili kuwezesha mafanikio kwenye miradi. Sasa mie nafikiri mara nyingi, kwa juu juu wengi huwa tunakimbilia kulaumu mojakwamojΓ Contractor bila kuona tatizo hasa ni wapi? Ikichunguza kwa undani, unaweza kuta flaws zimefanyika, kuanzia kupata competent consultant( msimamizi wa mradi), or unakuta kulikuwa na tatizo kwenye Design(inaccurate) ,or kwenye procurement (in mproper process which results to awarding a contract to incapable contractor)na as result anakuwa anashindwa kufanya kazi, na pia tatizo laweza kuwa kwenye supervision team, or upande wa Client kutolipa certificates za Mkandarasi kwa wakati , kwa zile approved works. Kwa hiyo kumlaumu Contractor moja kwa moja linapotokea tatizo, huwa inafaa kujaribu kuangalia kwa uhalisia limesababishwa nani???
Nafikiri ni kweli ucheleweshaji wa malipo unaleteleza miradi kutokamilika au kutokamilika kwa wakati. Ucheleweshaji wa miradi pia huongeza gharama za miradi maana ukichelewa miezi sita kulipwa, utakapolipwa gharama zitakuwa zimepanda (bei kuongezeka).Miradi ya Maji sio kwamba inashida ya design la hasha.
Mkuu Jidu La Mabambasi ameeleza sababu za wazi zinazokwamisha utekelezaji wa miradi ya Maji uki compare na miradi mingine ya Ujenzi, kama umewahi kufanya Kazi ya Ukandarasi utaona utofauti.
Miradi ya Maji tatizo lake kubwa ni Ucheleweshaji wa Malipo, hii hupelekea miradi isikamilike kwa wakati, inafikia kipindi Una raise madai ya labda 300M, lakini utakuja kulipwa labda baadaya ya miezi 6 au mwaka.
Sote tunajua mradi unapochelewa kukamilika unakuwa na cost implication hasa kwa Mkandarasi, unaweza kuta wakati Una bid bei ya bomba la 3" ilikuwa pengine 1,500,000 lakini kutokana na ucheleweshaji wa malipo hence mradi kuchelewa ambapo utakuta bomba imepanda tena bei, kwahiyo itakulazimu mrudi tena mezani na kuanza kuitumia hela ya Contingency ambayo itapelekea gharama ya Mkataba kupanda.
Ndiyo stage hii wasiojua kinachoendelea kusema miradi ya Maji kuna Upigaji.
Mkandarasi kama analipwa kwa Wakati hutakuja kuona hizo mambo.
Jifunzeni kwa miradi inayofadhiriwa na Donnars kama UNICEF, World bank au Ukaid ambayo inafanywa kwa Force account mbona inakimbia, ni kutokana na Wafadhiri kuingiza hela kwa watekelezaji kabla ya kuanza kujenga.
Kwa hili unaona kabisa mwenye shida ni Serikali nasio Makandarasi.
Just like YOUR interests!Declare your interest tafadhali!
Na hiyo ndiyo sababu KuuNafikiri ni kweli ucheleweshaji wa malipo unaleteleza miradi kutokamilika au kutokamilika kwa wakati. Ucheleweshaji wa miradi pia huongeza gharama za miradi maana ukichelewa miezi sita kulipwa, utakapolipwa gharama zitakuwa zimepanda (bei kuongezeka).
Safi kabisa , mtawatapata wale makandarasi wajuaji wasiokataa kazi na wanaoweza kupandisha maji mlima Kilimanjaro!
Na hivyo vikampuni vyenye mafundi Maiko(makanjanja) vyote ni vya wakubwa Wizara ya Maji.akina fundi Maiko?π
Kila kitu ni kigumu kama watendaji wake ni wagumu kufanya uchambuzi, kutengeneza bajeti stahiki, kuweka mpango kazi na usimamizi makini
Hata 2015 kurudi nyuma ilikua ngumu sana kupata kitanda pale Mwaisela, mgonjwa kulazwa chini ilikua kawaida sana ila sasa vitanda vipo tena vitanda safi