ukweli ni kwamba anachosema slaa sio ukweli.Leta ushahidi kama anachosema slaa ndo ukweli.
Sasa ww mama kazi ya Takukuru aka takakuu ni nini? walitakiwa washtaki halafu Dr. Slaa anakuwa shahidi au vp? mbona kina mramba kina prof. Mahalu walishtakiwa na mashahidi walikuwawepo sasa washtaki tuone kama Dr. Slaa atakataa kutoa ushahidi.
Ameishiwa sera huyu nae, ndio maana kina Zitto wanajiona ni bora zaidi yake.
sasa ndugu takukuru itafunguaje mashitaka bila kukamata?au kuwa na ushahidi wowote.kama yeye slaa anao ushahidi ndo aupeleke takukuru ama mahakamani,SIMPLE LIKE THAT.
Mzee tafuta wimbo mwingine huu tumeuchoka! kama unaushahidi nenda mahakamani!......
Nani mwenye dhamana ya kuwafungulia mashitaka watu wanaoeneza uongo na kuchochea wananchi kuvunja sheria? Kwa nini serikali ijivue kweye wajibu wake wa kikatiba kama si kuhadaa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiriYeye si ana ushahidi? na ana uchungu na nchi hii? kwanini azunguke zunguke na ushahidi ktk majukwaa ya siasa badala ya kuwashitaki mahakamani? unapozunguka kila kona na ushahidi wa uongo majukwaani una lengo la kuchochea wananchi ili wakasirike na kuamua kuvunja sheria kama wanavyofanya sasa huko Mwanza!
Ndugu nchi hii ina mahakama, tupeleke kesi zetu huko na tuache kutafuta umaarufu kupitia mgongo wa machinga!
mimi pia nimeshamchoka huyu mzee. hana jipya zaidi ya ufisadi.. siasa ni zaidi ya ufisadi..tunataka sera izo ngonjera tumeshazizoea.....
Sio kuzeeka vibaya tu, hata anakoelekea ni kubaya! kashfa za ngono si kitu kidogo kwa mtu mwenye elimu ya Thiolojia!.......
Mzee tafuta wimbo mwingine huu tumeuchoka! kama unaushahidi nenda mahakamani!
.......
Hapa tu ndo naipendea Tanzania. Iba fedha za Rada wataongea, hakuna hatua then watasema wimbo wameuchoka. Iba fedha za EPA, wataongea, hakuna hatua then watauchoka pia wimbo huo. Iba pesa za Agricultural Inputs, wataongea, hakuna hatua then wataouchoka wimbo huo. Piga Ulimboka, wataongea, hakuna hatua pia watauchoka wimbo huo. Piga ua Mwangosi, wataongea pia watauchoka wimbo huo. Dhulumu watu, wataongea, hakuna hatua then wataucoka huo wimbo. Fanya ufanyalo, wataongea, hakuna hatua watauchoka wimbo huo. Upewe nini tena na Mungu?
Tofauti na nchi zilizoendelea, hata ukiiba penseli ukiwa shule ya msingi, hupewi kura hata baada ya miaka 50 na rekodi itawekwa!!!
Hapa ndo tofauti ilipo na tofauti hii inaji-reflect kwenye maendeleo pia. We will remain ombaomba!
Hivi hawa jamaa zaidi ya kushutumu watu mbalimbali kwa ufisadi,wana hoja nyingine?