Dk Slaa Mbumbumbu - Kamala

Huyu Kamala hata watu wa huko kwao wamemkataa kwa sababu hawezi kitu; anawezaje kuongelea Tanzania iwapo hata jimbo lake hawezi kuliongelea. Jamaa ana digrii za kununua na ndiyo maana hata alikuwa hawezi kuongelea masalahi ya Tanzania mbele ya wenzake wa Uganda na Kenya awapo huko kwenye Afrika ya Mashariki. Sijui kama Mzumbe bado watampokea baada ya kujua nkuwa alinunu digrii.
 
Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?
Ushalewa wewe mvinyo wa mafisadi, take care ????mwanaume??? , the world is changing
 
profession yangu ni Doctor of medicine, naomba kutoka kwenu wadau au ndugu zangu waliobobea kwenye maswala ya uchumi, mnisaidie nini maana ya GOVERNMENT SUBSIDE na nini maana ya VAT? NIMEPATA ELIMU YANGU CHINA, UKITEMBEA CHINA NZIMA BEI YA CEMENT NI MOJA TU. YAANI MFANO KAMA MWANZA NI TZSHS 5,000, BASI KIGOMA , MTWARA NA SEHEMU ZOTE ITAKUWA BEI HIYO HIYO NA AKIPATIKANA MTU ANAUZA KWA BEI JUU YA 5,000 NI KOSA LA JINAI NA LAZIMA UKATUMIKIE JELA. KAMA CHINA NI NCHI KUBWA HIVYO WAMEMUDU HIYO TANZANIA TUNASHINDWA NINI? TATIZO UCHUMI TUNAUSOMA KWENYE VITABU HATUNA PRACTICALS ZETU WENYEWE.
 
Kamala u Dk wako unatofauti gani na wa Kikwete? Elimu yako umefoji sasa hivi kila mtu anajua hilo thanks to Msemakweli. Unajituma kumchafua DK wa ukweli Slaa ili kikweche akupe u RC akishachakachua matokeo. Imekula kwako kamala.
 
yeye ndo mbumbumbu tena poyoyo asiejitambua amechakachuliwa nyang'au huyo anaejidai kuongea hayo maneno damn!
 
kwa mtiririko huo tu Kamala amashuka hadhi kama kama c.h.u.p.i za vip,
uwezo wa kikwete ambaye ni bosi wake ni mdogo nyanja zote, labda kwenye uongo
na uropokaji
 
Mnapoteza muda kubishana na Kamala (plz don't call him Dr anymore, maana bado anasotea udaktari).
Sie kwetu huko tulimbwaga chini maana kichwa chake hakina lolote zaidi ya uzinifu tu! Hana kitu. Yaani namuonea huruma maana alikuwa mtu wa tatu katika race.
Anapalilia u DC lakini bahati mbaya rafikiye hawezi kurudi tena ikulu. Bado nadhani hesabu zake ni za chekechea.
 
The Following 2 Users Say Thank You to mubi For This Useful Post:

Anyisile Obheli (Today), Mchukia Fisadi (Today)

Yaani nilipogonga thanks zikatokea thanks mbili kwa mpigo
 
Aiseeeeeeeeeeeeee wewe vuvuzela vipi bana! :doh:
Mkuu nasikia siku ukitamka vuvuzela unaweza kula ban... 😀...

Lakini kamanda wenu amechemsha ile mbaya... Yaani demu anakwenda nyumbani kwake na makid wawili.. yeye naomwona ka mwali? Ka si umbumbumbu ni nini hasa...
 
The Following 2 Users Say Thank You to mubi For This Useful Post:

Anyisile Obheli (Today), Mchukia Fisadi (Today)

Yaani nilipogonga thanks zikatokea thanks mbili kwa mpigo

Mkuu tupo pamoja hata Bongo hiyo kitu inafanyika mfano bei ya petroli na dizeli mikoani inakaribiana na dar, serikaki ina subsidize transort cost
Daah jamaa kweli kihiyo yaani ndio mawaziri wetu hao wanapindisha hata kusikopinda
 
si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?

wewe mbona unatembea na mke wa mtu, basi nawe ni mbumbumu huko tampere.
 

Jamani hizi Ph.D za akina kamara wanaziokota wapi. " this guy is so stupid indeed" kwa nini mfuko wa saruji toka paskitani unauzwa kwa bei ya chini kulinganisha na bei za hapa Tanzania. gharama ya kusafirisha saruji toka pakistani mpaka Tanzania ni kiasi gani na gharama ya kusafirisha mfuko toka Dar kwenda Mwanza ni kiasi gani. Gharama za Tanzania ziko inflated sana ambazo Dr. Kamara anazifuata. Inabidi urudi shule kusoma Ph.D ya ukweli kuliko kusema uongo wako. asubiri apewe ukuu wa wilaya ya tarime.
 
Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?


Wewe ndo mbumbumbu. Mke wako unamjua hawala yake wa kwanza? Usiropoke tu.
 


Ni mbumbumbu huyu Kamala vinginevyo angefanya cost analysis kama Waziri ili kujua kwa nini saruji toka pakistan pamoja na gharama za usafiri ina bei ya chini kuliko inayozalishwa Tanzania na kutafuta njia ya kupunguza bei ya saruji yetu ili iwe rahisi na hivyo kuwavutia wanunuzi wengi lakini hana jipya ila kubwabwaja tu!
 
we `kamala huna vyeti tulia kaa kimya..hujui unachoongea ...mfuko wa cement mapka Mwanza sh 7,000/= ???? we kweli pumbavu kabisa ndo maana hata vyeti wa udokta wako unamashaka
 

kweli Kamala ni mjinga na sijui kama anasoma.jamani huyu waziri hajui kwamba EAC ni hiari,leo katiba ya kenya wakenya wamejiondoa katika jumuhia hiyo simply they are not ready prepared.mwambieni atafute gazeti East africa asome,viongozi kama hawa hawafai.
 
Kamala CCM hawakutaki njoo Chadema ule kuku
 
si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?

hatudanganyiki! Hata mseme nini! Hovyoooooo! chagua Slaa, chagua Chadema kwa maendeleo ya mtanzania ukiwamo na wewe kibunango!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…