MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Mwandosya kama kasema hivyo ametusaidia watz kuwa Magufuli sio zao la mfump mbaya wa ccm!Vinginevyo hujui hierachy ya nchi, Rais ndio kila kitu chama baadae, hivi unadhani ccm ina ubavu wa kumshinikiza kikwete?Ni bora ukae kimya kama hujui unachokisema, fanyeni kosa Lowasa awe rais kwa mfano then muone mziki wake kama kweli atawatii chadema!Sasa hivi tu kina mbowe wana yield tayari hata hajawa mgombea vipi akiwa raisLowasa hata akichukuwa fomu na kupendekezwa kupeperusha bendera kwa niaba ya Ukawa bado katika chama Mbowe, Slaa na Kamati kuu ndio mabosi wake na atapaswa kuwasikiliza na kuwatii sasa sasa toka lini bosi akamkimbia anayemuongoza?
Kwani Magufuli kwa kuteuliwa na ccm ndio amekuwa bosi kwa JK na Kinana? Acheni hayo mambo yanayochombezwa na ccm kisha mpaka wamemsahau MTU wao Magufuli hata kumtaja taja na ndivyo anavyozidi kusahaulika. Ukizingatia Mwandosya kasema kwenye chama hajawahi hata kuwa mjumbe wa tawi.