Unadhani suluhisho sahihi ni lipi hapa? Mi nionavyo ni kuwepo kwa nchi moja iliyoungana tu, jeshi moja, serikali moja, Bunge moja nknk, wewe je?Kama tunaendelea na muungano ambapo rais wa Tanzania bara ndiyo anakuwa rais wa serikali ya muungano, kamwe hapatakuwa na usawa wa pande mbili za muungano. Tanzania bara kwa wingi wao wataendelea kuwa na turufu kwa mambo yote ya muungano kwa vile hakuna chombo kilicho juu ya rais wa munngano ambapo Zenj wanaweza kupeleka malalamiko.
Hayuko tayari kwa sababu serikali ya muungano ina maana serikali ya TanganyikaYupo tayari kuchangia nusu ya gharama za serikali ya muungano?