DK. Mwakyembe: Nishaonja kifo siogopi kufa

Akitaka afanikiwe aache na usanii wa kutaka kuonekana kuwa yeye ndiye kila kitu - yaani kama nyota wa kwenye sinema. Ajikite kwenye kujenga mifumo imara ya kiutendaji (strong governance structures) itakayomfanya aachane na huu utaratibu wa yeye binafsi kwenda kukamata mabasi yanayovunja sheria barabarani.

Je taasisi zilizo chini ya wizara yake zina bodi za wakurugenzi na watendaji wakuu? Je wizara yake ina watendaji waliothibitishwa kazini au ni walewale wa kukaimu? Kama hajatatua hili atapiga sana kelele lakini hakuna kitakachofanyika.
 
Huyu Mwakyembe amejaa usanii na kutaka sifa tu, kazi anayofanya haionekani. Mambo afanyayo ni kama vituko tu. Yeye amejaa kulaumu wenzie tu na kujifanya yeye ni mbwamba. Haya tumempa kazi sasa, makeke tu, si lolote wala chochote. Kazi si maneno baba kazi ni vitendo. Hivi lile suala la ndege kuvunjika kioo hajaundiwa tume tu ya kumchunguza? Kazi ya binamu hio.
 
Mwakyembe anaweza kuleta mabadiliko, ikiwa ndege zinanunuliwa kwa dhamana ya serikali sio pesa taslimu, kitu muhimu ni kusafisha manejimenti ya ATCL na Tazara.

Nakubaliana na wewe, anaweza leta mabadiliko.

1. Aanze na usafiri Dar es Salaam, Hapa arudishe mabasi ya IKARUS. Daladala na pikikipiki zipigwe stop mjini zianzie nje ya jiji Buguruni, kikitonyama, keko, Magomeni, mwenge etc. kupunguza msongamano na mabasi machafu machafu kama ta Tabata, G mboto etc. Atume au aende Rwanda kuhusu usafiri mijini na Burkina Faso aone kuhusu pikipiki.

2. Aende apande meli ziendazo uzinnza, Bukoba, Ukerewe, za Ziwa Tanganyika na hasa hasa Ziwa Nyasa AONE ASAFIRI KOTE HUKO a experience shida za watu za usafiri.

3. Usafiri wa ndege: akae akijua ATC inahujumiwa na baadhi ya wabunge na mawaziri wenzake ili ife Precision iendelee kutamba. anajua wazi watu wana interest na Precision, ATC ikifanya vizuri kwao ni tishio.
Complimentary tickets kwa Board Members wa ATC kila kukicha hazitaisaidia ATC.

4. Treni. Aite wachina waje waendeshe TAZARA kwa muda, wazambia na wabongo wote njaa tupu kuna virus anaitwa pesa na cha juu au kitu kidogo, imejaa ndani ya damu zetu. Ila tu asilete wahindi.

Ni kazi kubwa hapaswi kukaa ofisini sasa sijui afya yake itamruhusu ama vipi.
 
Akitaka afanikiwe aache na usanii wa kutaka kuonekana kuwa yeye ndiye kila kitu - yaani kama nyota wa kwenye sinema. Ajikite kwenye kujenga mifumo imara ya kiutendaji (strong governance structures) itakayomfanya aachane na huu utaratibu wa yeye binafsi kwenda kukamata mabasi yanayovunja sheria barabarani.

Je taasisi zilizo chini ya wizara yake zina bodi za wakurugenzi na watendaji wakuu? Je wizara yake ina watendaji waliothibitishwa kazini au ni walewale wa kukaimu? Kama hajatatua hili atapiga sana kelele lakini hakuna kitakachofanyika.[/QUOTE





Sioni ubaya wa yeye kwenda ubungo mara moja moja
 
sasa watu wanajojua kufikiri je kweli tanzania haina wataalam wa kuendesha reli na shirika la ndege? mi nafikiri mambo ya usafiri wa barabara amwachie magufuli yeye alete mabadiliko kwenye sector ya Anga na Reli. tutafurai tukiona Ndege ya watanzania inaruka na kwena nje ya nchi pamoja na Meli kufanya kazi
 
Naamini uwezo wake wa kiutendaji ni mkubwa sana labda km akiangushwa na wasaidizi wake kwa makusudi au kwa zile hila za ccm za kupandikiza mamluki ili aonekane hafai lkn kiukweli jamaa yuko makini sana na huwa hakurupuki hii nchi ina vichwa vichache sana km mwakyembe
 
Kakwambia nani kuwa yeye msafi? Muulize ile nyumba ya ikolo ambayo anajengwa na Mkandarasi kama zawadi atamlipaje mkandarasi?Na ile ya kunduchi vipi kwa mshahara wake anaweza kuijenga?Wizi ni wizi tu.
 
Aiseeh.. Wale walinzi wa gadafi wangekuwepo ilibidi tuwaombe wamlinde mwakyembe mana askari wa Tz wanatulinda pia haohao wanatoa kichapo kwa wanaharakati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom