Kwanza, namshukuru Mungu kwa kumuwezesha kiongozi wetu kurejea salama..nadhani ni suala ya kumshukuru Mungu sana,kulingana na taarifa za tatizo lake zilivyokuwa zikitufikia ilikuwa inatisha....
Lakini pili, nina ushauri wa bure kwa Dr..nadhani ni muda muafaka wa yeye kuondoka CCM na kuachana na siasa za ghiliba,ufisadi,utesaji,uuaji,unyanyasaji,visasi,uzushi,ushetani,usengenyaji,ufirahuni,uhafidhina,uchawi,unafiki nk zinazoendeshwa na chama chake cha sasa yaani CCM...Hili ni fundisho kwake na kama asiposikiliza ushauri wa watu wanaomtakia mema,itafika kipindi anataka kutoka and it will be too late....