Ngurubhe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,840
- 1,049
Inawezekana mim nina madhaifu, kuwa sijawahi kumuona rais Kikwete ameonekana amekelwa au hata kuwa serious kukemea wizi hasa mkubwa kama huu uliotokea hivi karbuni. Sasa mimi huwa najiuliza labda kwa kuwa ni rais bas ana hela nying sana kias kuwa hela zinazopotea ni kidogo na hana machungu kabisa.
Hivi angekuwa Mwl Nyerere yuko hai na ndio anahutubia,je taifa lingekuwaje?,bila shakaTaifa lingezizima....na hata watoto wadongo wangejua kuwa leo rais anaongea na wananchi!....sasa jamaa anaongea utadhani anapga stori za kawaida sana kibarazani kumbe anaongea na taifa tena juu issue nyeti hzi za uwajibakaji na uwajibishaji.
Jana rais wangu hujalitendea haki taifa langu, kwanza ulionekana kutoa maamuzi kwa kuogopa, kusitasita utadhani na wewe umeiba hizo hela!
,unasingizia kikohozi kweli, rais?.basi kama ulikuwa hauko sawa kiafya Dactari wako hakuliona hilo?... si angeshauri uhutubie taifa ukiwa sawa kiafya?.. Hvi ulijua kama dunia nzima walikuwa wanakufuatilia?,walio nje na ndani ya Tanzania,walio watanzania na wasio!....
Wewe unaongea na sisi utadhani tumekaa barazani tunapiga stori za mechi za Simba na yanga!,inauma sana .....
Binafsi nilichukia sana, kwani nilitegemea kwa mda wote uliodai wajiandaa ili uongee na wananchi ulitakiwa kuja na majawabu ya maswali mazito yalifungata mioyo ya Watanzania,
yanayowasumbua wananchi hadi sasa!
Ulikuwa unafanya nini, almost siku 23 hadi jana toka ulipoahidi kuongea na kutoa maamuzi juu ya watuhumiwa wa scandal ya ESCROW.Maana umekuja bado wengne unawaweka kipolo kuwa huo mda haukutosha kuwachukulia hatua?.
Skufundishi kazi lakini kwa hili Hujalitendea Haki taifa langu!....
Kwanza hotuba yako ilikuwa ni ya kawaida sana kana kama hakuna tatizo lolote ndani ya taifa!,
Na ulihutubia kana kwamba unatimiza tu wajibu kwa sabab ulishatoa ahadi ya kufanya hivyo,kwani kuna mambo mengi tu yaliyokuwa yanapaswa kutolewa majibu na Mkuu wa Taifa....yamebaki kuwa pending....uhm Dk.,Hujalitendea haki taifa langu....
Rais Kikwete, au ndio na wewe unajua ikoje?Au Ndio maana unaogopa kuwa mkali juu ya wizi kama huu,kwamba hata sku moja muovu hakemeii uovu? Au ndio unataka uondoke salama? Au ndio unataka kutupooza tu wananchi kwa kumtoa kafara mama Tibaijuka?
Inawezekana huyu mama hajui chochote ndio maana mnamuengua hadharani!,wenye siri nzito umewaacha kwani wakja ktaa wataaniaka uvundo ulioko hko?...
Akina muhongo wanajua siri nzito ndo maana mnawaweka kipolo ili wasiwaumbue na nyie. Rais kama utapata nafas nyingne toa hutoba nyingne itakayojibu maswali juu ya mabilion ya fedha kwenye taifa lako, na kutoa mwanya wa uwajibikaji kuchukuwa nafas yake, sio kuongea kana kwamba na wewe ni mwizi hivyo unaogopa utakachoamua wezi watasema mbona na wewe rais tulikuwa pamoja!
Na haki unayoisema ichukuwe nafas sio kumuumiza mlaji unamuacha aliyepika chakuka chenye sumu.
Na swala la uchunguzi kwa mambo ambayo yako wazi ni kuwaibia wananchi. Na serikali yako rais imetia fora kwa kuunda tume kisha hizo tume hata hazitusaidii. Kama unadhani nakuonea kuiponda hotuba yako njoo kitaa usikie..
Usifunike kombe ili mwanaharam apite!....
Sikufundishi kazi lakini kwa hili la escrow..hata bibi yangu anajua kama huu wizi hauvumiliki na hasa alipojua kuwa hizo hela ni nying sana, wakt yeye hata 1000 kwa wiki haioni..... anaichkia sna serkali yako fisadi!..
Hivi angekuwa Mwl Nyerere yuko hai na ndio anahutubia,je taifa lingekuwaje?,bila shakaTaifa lingezizima....na hata watoto wadongo wangejua kuwa leo rais anaongea na wananchi!....sasa jamaa anaongea utadhani anapga stori za kawaida sana kibarazani kumbe anaongea na taifa tena juu issue nyeti hzi za uwajibakaji na uwajibishaji.
Jana rais wangu hujalitendea haki taifa langu, kwanza ulionekana kutoa maamuzi kwa kuogopa, kusitasita utadhani na wewe umeiba hizo hela!
,unasingizia kikohozi kweli, rais?.basi kama ulikuwa hauko sawa kiafya Dactari wako hakuliona hilo?... si angeshauri uhutubie taifa ukiwa sawa kiafya?.. Hvi ulijua kama dunia nzima walikuwa wanakufuatilia?,walio nje na ndani ya Tanzania,walio watanzania na wasio!....
Wewe unaongea na sisi utadhani tumekaa barazani tunapiga stori za mechi za Simba na yanga!,inauma sana .....
Binafsi nilichukia sana, kwani nilitegemea kwa mda wote uliodai wajiandaa ili uongee na wananchi ulitakiwa kuja na majawabu ya maswali mazito yalifungata mioyo ya Watanzania,
yanayowasumbua wananchi hadi sasa!
Ulikuwa unafanya nini, almost siku 23 hadi jana toka ulipoahidi kuongea na kutoa maamuzi juu ya watuhumiwa wa scandal ya ESCROW.Maana umekuja bado wengne unawaweka kipolo kuwa huo mda haukutosha kuwachukulia hatua?.
Skufundishi kazi lakini kwa hili Hujalitendea Haki taifa langu!....
Kwanza hotuba yako ilikuwa ni ya kawaida sana kana kama hakuna tatizo lolote ndani ya taifa!,
Na ulihutubia kana kwamba unatimiza tu wajibu kwa sabab ulishatoa ahadi ya kufanya hivyo,kwani kuna mambo mengi tu yaliyokuwa yanapaswa kutolewa majibu na Mkuu wa Taifa....yamebaki kuwa pending....uhm Dk.,Hujalitendea haki taifa langu....
Rais Kikwete, au ndio na wewe unajua ikoje?Au Ndio maana unaogopa kuwa mkali juu ya wizi kama huu,kwamba hata sku moja muovu hakemeii uovu? Au ndio unataka uondoke salama? Au ndio unataka kutupooza tu wananchi kwa kumtoa kafara mama Tibaijuka?
Inawezekana huyu mama hajui chochote ndio maana mnamuengua hadharani!,wenye siri nzito umewaacha kwani wakja ktaa wataaniaka uvundo ulioko hko?...
Akina muhongo wanajua siri nzito ndo maana mnawaweka kipolo ili wasiwaumbue na nyie. Rais kama utapata nafas nyingne toa hutoba nyingne itakayojibu maswali juu ya mabilion ya fedha kwenye taifa lako, na kutoa mwanya wa uwajibikaji kuchukuwa nafas yake, sio kuongea kana kwamba na wewe ni mwizi hivyo unaogopa utakachoamua wezi watasema mbona na wewe rais tulikuwa pamoja!
Na haki unayoisema ichukuwe nafas sio kumuumiza mlaji unamuacha aliyepika chakuka chenye sumu.
Na swala la uchunguzi kwa mambo ambayo yako wazi ni kuwaibia wananchi. Na serikali yako rais imetia fora kwa kuunda tume kisha hizo tume hata hazitusaidii. Kama unadhani nakuonea kuiponda hotuba yako njoo kitaa usikie..
Usifunike kombe ili mwanaharam apite!....
Sikufundishi kazi lakini kwa hili la escrow..hata bibi yangu anajua kama huu wizi hauvumiliki na hasa alipojua kuwa hizo hela ni nying sana, wakt yeye hata 1000 kwa wiki haioni..... anaichkia sna serkali yako fisadi!..