mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,165
DK. HOSEAH, KATIMULIWA AU MUDA WAKE UMEKWISHA?
Kufutwa kazi kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk. Edward Hoseah, wala hakunishangazi sana.
Kwani, tangu mwezi Novemba mwaka huu alishaandika barua ya kuachia ngazi. Alifikia uamuzi huo kutokana na umri wake, hivyo alihitaji kupumzika na kufanya shughuli zingine za binafsi.
Hivi sasa Dk. Hoseah ana umri wa miaka 57, na umri wa kustaafu kwa hiari kwa Tanzania ni miaka 55 au 60.
Hivyo basi, kwa uamuzi uliochukuliwa wa kumfuta kazi Dk. Hoseah kipindi hiki, wala hakijanistua na wala hakuhitaji pongezi ya aina yoyote...
Kwasababu, hata kama asingeng'olewa. Ilikuwa kwa lazima, mwaka huu huu Dk. Hoseah aachie ngazi (kwa mujibu wa umri wake).
Ukijua mambo mengi kama mimi, huwezi kupongeza kila kitu..
Hakika Dk. HOSEA ameonewa tu. Kama mtakumbuka amewahi kurekodiwa mwaka 2011. Kwenye mtandao wa wamarekani kuwa Tanzania ina nia ya dhati kupambana rushwa. Tatizo siyo Hosea, tatizo ni mfumo wote wa serikali. Ikumbukwe Hosea amewahi kulalamika kuwa wanakamata wala rushwa ila kes ikifika kwa DPP. haipeleki mahakamani, sasa Walitaka awapeleke mahakamani yy kama yy?. MM mwenyewe na chukia rushwa ila kwa mfumo uliokuwepo.
Kufutwa kazi kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk. Edward Hoseah, wala hakunishangazi sana.
Kwani, tangu mwezi Novemba mwaka huu alishaandika barua ya kuachia ngazi. Alifikia uamuzi huo kutokana na umri wake, hivyo alihitaji kupumzika na kufanya shughuli zingine za binafsi.
Hivi sasa Dk. Hoseah ana umri wa miaka 57, na umri wa kustaafu kwa hiari kwa Tanzania ni miaka 55 au 60.
Hivyo basi, kwa uamuzi uliochukuliwa wa kumfuta kazi Dk. Hoseah kipindi hiki, wala hakijanistua na wala hakuhitaji pongezi ya aina yoyote...
Kwasababu, hata kama asingeng'olewa. Ilikuwa kwa lazima, mwaka huu huu Dk. Hoseah aachie ngazi (kwa mujibu wa umri wake).
Ukijua mambo mengi kama mimi, huwezi kupongeza kila kitu..
Hakika Dk. HOSEA ameonewa tu. Kama mtakumbuka amewahi kurekodiwa mwaka 2011. Kwenye mtandao wa wamarekani kuwa Tanzania ina nia ya dhati kupambana rushwa. Tatizo siyo Hosea, tatizo ni mfumo wote wa serikali. Ikumbukwe Hosea amewahi kulalamika kuwa wanakamata wala rushwa ila kes ikifika kwa DPP. haipeleki mahakamani, sasa Walitaka awapeleke mahakamani yy kama yy?. MM mwenyewe na chukia rushwa ila kwa mfumo uliokuwepo.