Dk. Hoseah, katimuliwa au muda wake umekwisha?

Dk. Hoseah, katimuliwa au muda wake umekwisha?

Ametutwa kazi kwa kashfa....hilo ndilo nalijua labda kama kuna lugha ya heshima zaidi
 
Dr hosea kaonewa. DDP alikuwa hapeleki kesi mahakamani anazoletewa na take kurudi. Ulitaka afanye sasa? Alishaomba sheria zibadilishwe, wahusika wapo kimya. Afanye?
 
Kwahiyo ulitaka hata kama hakufuata maagizo ya wakubwa zake aachwe tu aendelee kuwepo eti kwa sababu karibia anastaafu!? Hiyo zamani sio sasa.
 
tatizo ni check and balance. Hosea hana kosa, shida ni kibohoyo DPP NDIE AFUKUZWE PIA DPP OFFICE IFUTWE. PCCB IPEWE MENO ZAIDI.

Hapo huko sahihi yeye anakamata dpp anaachiatena ersh pootulipo
 
mgt software,

..mapambano ya Rushwa Tanzania yanategemea kwa kiasi kubwa utashi wa Raisi aliyeko madarakani.

..kama Magufuli atakuwa committed kupambana na rushwa basi tutaona pccb inayofanya kazi yake kwa uadilifu na weledi.
 
Last edited by a moderator:
mgt software,

..mapambano ya Rushwa Tanzania yanategemea kwa kiasi kubwa utashi wa Raisi aliyeko madarakani.

..kama Magufuli atakuwa committed kupambana na rushwa basi tutaona pccb inayofanya kazi yake kwa uadilifu na weledi.
umenena vizuri, maana JK alikuwa anakalia mafaili mengi ya ki-uchunguzi, orodha ya wala rushwa, anayo, majangili anayo, madawa ya kwelivya ambamo alikuwepo pia wabunge waliotajwa kwenye barua kutoka hongkong nayo. majina ya boto za znzibar kuvusha magendo kupitia mbweni anayo
 
umenena vizuri, maana JK alikuwa anakalia mafaili mengi ya ki-uchunguzi, orodha ya wala rushwa, anayo, majangili anayo, madawa ya kwelivya ambamo alikuwepo pia wabunge waliotajwa kwenye barua kutoka hongkong nayo. majina ya boto za znzibar kuvusha magendo kupitia mbweni anayo

..bandari bubu zinazoingiza magendo toka Znz kuja Tgk ni tobo kubwa mno la mapato.

..Magufuli anatakiwa athibiti ukanda wote wa bahari yetu kuna magendo na ufisadi mkubwa eneo hilo.

cc MsemajiUkweli, Nyenyere
 
Last edited by a moderator:
Marekebisho ya mfumo mzima na katiba mpya bila kupatikana hapa tunapiga maktaim huku tumesimama. Bila kutenganisha majukumu ya utumishi wa umma na Chama. Hata magufuli atahangaika na atagonga mwamba.
 
Marekebisho ya mfumo mzima na katiba mpya bila kupatikana hapa tunapiga maktaim huku tumesimama. Bila kutenganisha majukumu ya utumishi wa umma na Chama. Hata magufuli atahangaika na atagonga mwamba.
Tatizo la watu kama wewe mmekariri kauli za wanasiasa bila hata kushughurisha fikra zenu. Nani alikuambia Katiba mpya ni mwarobaini wa rushwa katika nchi.

Kenya siyo muda mrefu wameandika katiba mpya lakini kila siku rushwa na utafunaji wa pesa za wananchi unaongezeka.

Bonyeza hapa ili ufungue fikra zao
Kwa kukusaidia zaidi,
Last week, Kenya?s highly respected auditor general, Edward Ouko, released an annual audit of government accounts. An uproar immediately followed as the scale of mismanagement of public funds became clear. Only 1.2% of the country?s 2013-14 $10bn (?6.4bn) budget was correctly accounted for. About $600m could not be accounted for at all.

The regime of President Uhuru Kenyatta has allowed the most permissive environment for corruption in Kenya?s history. Following the report?s publication, observers were soon speculating about the possibility that a considerable chunk of the missing funds had been pocketed. This is partly because the economy has grown and there is more to ?eat?, as corruption is called in Kenya. More eating is being done than at any time since we started trying to measure graft in the 1990s.

Indeed, corruption has become the most talked about malaise in the country, with weekly headlines about new scandals. Kenya has continued to slide down Transparency International?s corruption perception ndex . On 3 August, Kenya?s chief justice Willy Mutunga sounded the alarm that corruption was creeping back into the judiciary as well ? the first time the highly respected official has made such a claim publicly.
 
..bandari bubu zinazoingiza magendo toka Znz kuja Tgk ni tobo kubwa mno la mapato.

..Magufuli anatakiwa athibiti ukanda wote wa bahari yetu kuna magendo na ufisadi mkubwa eneo hilo.

cc MsemajiUkweli, Nyenyere
Rais Magufuli ana kazi kubwa sana.

Kinachonipa moyo chanya (optimistic) katika kutatua tatizo hili ni uelewa wa Rais Magufuli kuhusu tatizo hili kama alivyobainisha katika hotuba zake. Kikubwa zaidi ni uwezo wake katika kuyaishi yale anayoyasema.
 
..bandari bubu zinazoingiza magendo toka Znz kuja Tgk ni tobo kubwa mno la mapato.

..Magufuli anatakiwa athibiti ukanda wote wa bahari yetu kuna magendo na ufisadi mkubwa eneo hilo.

cc MsemajiUkweli, Nyenyere
Mkuu well said. Halafu kuna utoroshaji mkubwa wa fedha kupitia speed boat. Rais akisimama vizuri, ndani ya miezi michache tu ataishangaza dunia. Tumechoka na misaada ya shikamoo mzee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom