Asante kwamawazo utopoloMbowe = Chadema, wengine ni Hewa
Asante kwamawazo utopolo
Kila mtu anajua hilo. Hakuna ubaya. Ila impact yake wanaijua Ccm
Antony Diallo alishawambia
Muda si mrefu polisi na jw nao wataanza kuitaka mdogo mdogo hivi litaibuka tuu
Police =CCM, wataanzaje kuitaka katiba Mpya?Muda si mrefu polisi na jw nao wataanza kuitaka mdogo mdogo hivi litaibuka tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasheria wa Tanzania hawapendi kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa! Sisi tusio wanasheria ndio tunapiga kelele kudai sheria zifuatwe! Wenzetu wanauwezo wa kuishitaki serikali kama wafanyavyo wanasheria wa nchi nyingine.
Ndio amini usiamini kuna siku akili zitafurujia wenyewe kwa wenyewePolice =CCM, wataanzaje kuitaka katiba Mpya?
Ndivyo mnavyojidanganya kwani hiyo latiba itawalinda chadema?Katiba mpya ni kaburi kwa CCM na watetea matumbo yao over
SASA mbona mwaiogopa hivyo?Ndivyo mnavyojidanganya kwani hiyo latiba itawalinda chadema?
TLS kwanini wasiitishe mkutano wa wanasheria kujadili katiba? Nadhani wanasheria wana nafasi ya mwanzo kabisa kutuvusha kwenye huu mkwamo wa katiba.