Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Wala si jimama ki hivyo. Ni tabia ya kula kula hovyo tu ndo inawaponza watoto wa siku hizi
Mdada unatuogopesha una 'mguu wa kuku" kunako bikinini, sasa kukutomasa mbona inakua issue??
umepotelea wapi mkuu?Bongo na majimama, hawajambo!
Si kama wewe na si-si-mhhh ?Bongo na majimama, hawajambo!
Huyo ni binti bwana sema miili yetu mingine ni tatizo
Gusa urushwe
alipo muoa alikuwa mdogo kweli yaani ki-portable. Kamtunza vema mpaka anaonekana kawa jimama.