Dk 45 ITV J3 Warioba Kunguruma

Dk 45 ITV J3 Warioba Kunguruma

Msikose kipindi cha dk 45 itv kesho j3 saa tatu usiku ambapo jaji warioba atanguruma kuhusu mchakato wa katiba

umeleta kitu kizuri sema umekariri mambo kama walivyo akina serikali 2 warioba sio kama nape na wasira ama lukuvi.YEYE AUNGURUMI NA KUWATISHA WATANZANIA.Yeye anaenda kuwaeleza ya ukwel
 
Mkuu jenereta lipi hilo? Mbona unawadanganya wananchi?

Msalani kuna sehemu nimewadanganya wananchi kweli au unataka uonekane umechangia pia wakati unamchukia Warioba! Umeme wa Tanesco kwa nchi yetu unaweza kukatika hata bila taarifa sasa kwa kipindi muhimu kama hicho cha dakika 45 nisikiandalie njia mbadala ya nishati ya umeme? Sasa nimedaganya wapi?
 
Msalani kuna sehemu nimewadanganya wananchi kweli au unataka uonekane umechangia pia wakati unamchukia Warioba! Umeme wa Tanesco kwa nchi yetu unaweza kukatika hata bila taarifa sasa kwa kipindi muhimu kama hicho cha dakika 45 nisikiandalie njia mbadala ya nishati ya umeme? Sasa nimedaganya wapi?

Kamanda mimi simchukii warioba ila nachukia tabia yake ya kuchakachua rasimu ya katiba iendane na matakwa yake. Ndio maana analazimisha serikali tatu.
 
Kamanda mimi simchukii warioba ila nachukia tabia yake ya kuchakachua ya rasimu ya katiba iendane na matakwa yake. Ndio maana analazimisha serikali tatu.

Msalani lakini yale maoni tulishiriki sote tukapendekeza muundo wa muungano uwe wa serikali tatu sasa warioba anaingia vipi hapo kwa kulazimisha ? Yeye alikwenda field akaleta maoni kama yalivyo iweje Warioba aseme ukweli tumchukie? Nimeamini ukizoea vya kunyonga vya kuchinja huviwezi.
 
Lazima nikione
Viva Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba.
 
Nakisubiria mno magamba na lukuvii wao sijawaelewa siku 67 wameshindwa kupitisha hata utangulizi wa katiba ni siku 60 ndo wataweza maajabu.
 
Kamanda mimi simchukii warioba ila nachukia tabia yake ya kuchakachua rasimu ya katiba iendane na matakwa yake. Ndio maana analazimisha serikali tatu.

Jaji Warioba ni mwenyekiti wa tume ya rais iliyoratubu kukusanya na kufanyia uchambuzi takwimu iliyotokana na maoni ya wananchi pamija na matikeo ya tafiti zilizofanywa na tume. Kuwa mwenyekiti haimaanishi una uwezo wa ku-dictate matokeo ya maoni ya wananchi pamoja na tafiti zilizofanywa na tume.
Kwa mantiki hiyo lawama zako zielekeze kwa tume ta wataalamu tena wengi wao ni wasomi na makada maarufu waliokuwa na nafasi muhimu ndani ya ccm.
Hakuna takwimu zilizo chakachuliwa na tume na kama zimechakachuliwa mbona sijamsikia mwanaccm hata mmoja akilalamikia takwimu za sehemu nyingine kwenye rasimu isipokuwa zile sura ambazo ccm wana masilahi nazo
Huko ni kujifunga kufikiri.
 
Mimi nadhani Warioba angekaa kimyaa sasa. Kazi yake na tume imeshakwisha. Atuachie sisi tufanye yetu na maamuzi.


Mandla kama ungekuwa wewe ungeweza kukaa kimya? pengine kwa udogo wa hadhi yako ungeweza kukaa kimya, Lakibi siyo Warioba Mwanasheria mkongwe, Jaji, Waziri Mkuu Mstaafu, Makamu wa Rais nk. Huyu siyo mtu wa kutukanwa na Komba nk halafu abaki kimya.
 
Baada ya kufanyiwa mchezo mchafu bungeni kwa kutangulizwa yeye wakati hata Rais wa nchi hajazindua bunge acha cc wananchi 2msikilize Jaji Warioba atoe ya moyoni na wasi kwamba hzo dk 45 hazitatosha Itv mjiandae kutuwekea sehemu ya pili
 
We vipi ?

Si amesema generata lake ? Kitu gani huelewi ? Sasa unapomuuliza jenereta lipi, unataka akutajie rangi au afanyeje ? na unaposema aache kuwadanganya wananchi una maana gani ?

Mkuu jenereta lipi hilo? Mbona unawadanganya wananchi?
 
Safi sana hiyo, baadaye aletwe Humphley Polepole akifuatiwa Palamagamba Kabudi (Prof) na wamalizie na Lissu!!!
 
Msikose kipindi cha dk 45 itv kesho j3 saa tatu usiku ambapo jaji warioba atanguruma kuhusu mchakato wa katiba

Warioba Apumzike sasa. Maana naona kama Analazimisha serikali tatu kitu ambacho wananchi hawakitaki.
 
Mkuu kwani UKAWA hawatarudi bungeni?

""Ukawa waje kufanya nini bungeni?Wiki 2 kujadili upuuzi mara 2 mara 3 bila kufanya maamuzi kama kanuni zinavyosema!chondechonde UKAWA bila CCM kuacha upuuzi wao ni marufuku kurudi bungeni,acheni waendelee kubadilisha makanuni na wapitishe yote wanayotaka ila mwisho wa siku AMANI ya nchi ikivurugika,suspect nambari moja ni CCM Wakiongozwa na KIKWETE,LUKUVI,PINDA,KOMBA,PAUL MAKONDA,ASHA BAKARI,OLE SENDEKA,PETER SERUKAMBA,MREMA na MTETEMELA kwa matamko yake ya kumezeshwa na CCM.
 
Jenereta yangu iko full tank stand by ccmTANESCO msitutishe mkikata umeme j3 usiku saa 3 sisi tunapeta. Tunamsubiri Warioba kwa hamu sana
 
""Ukawa waje kufanya nini bungeni?Wiki 2 kujadili upuuzi mara 2 mara 3 bila kufanya maamuzi kama kanuni zinavyosema!chondechonde UKAWA bila CCM kuacha upuuzi wao ni marufuku kurudi bungeni,acheni waendelee kubadilisha makanuni na wapitishe yote wanayotaka ila mwisho wa siku AMANI ya nchi ikivurugika,suspect nambari moja ni CCM Wakiongozwa na KIKWETE,LUKUVI,PINDA,KOMBA,PAUL MAKONDA,ASHA BAKARI,OLE SENDEKA,PETER SERUKAMBA,MREMA na MTETEMELA kwa matamko yake ya kumezeshwa na CCM.

Mbona kila siku mnalia eti UKAWA warudi au hujui sam6 alifwata nini zanzibar? muulize akwambie
 
Mimi nadhani Warioba angekaa kimyaa sasa. Kazi yake na tume imeshakwisha. Atuachie sisi tufanye yetu na maamuzi.
Watanzania wengi wapo kama Mimi habari za katiba sizijui kabisaaa
Nawaachia wanasiasa kama warioba wanaojua mambo hayo wanielekeze cha kufanya . basi wenzangu msiojua hay a mambo acheni
Ushabiki wa
kijinga
 
Msikose kipindi cha dk 45 itv kesho j3 saa tatu usiku ambapo jaji warioba atanguruma kuhusu mchakato wa katiba

Nina wasiwasi na atakachozungumza probably nitakuwa dissappointed! Umadhubuti katika hoja inayosimamiwa juu ya Rasimu ya katiba dado sijafanikiwa kuthibitisha kuwa utabaki vile vile. Naona kama kuna sort of dilution as days go. To my surprise kuona Warioba ataamua kuwa indifferent kuhusu rasimu ya tatu. Kwa mawazo yangu hapaswi kuwa indifferent kwa sababu rasimu hii ndiyo inayoreflect mawazo ya wananchi zaidi. Natia mashaka umahiri wa Journalist atakayefanya nae kipindi kama unaweza kumleta Warioba at his Personal point of view to express the feelings he has on the pace of the process. Nahisi atamuhoji vitu vya kawaida tu ambavyo hata mimi naweza.
 
Back
Top Bottom