namuomba Warioba asikose kuelezea kama tanganyika iliungana na zanzibar kwanini bado zanzibar ipo tanganyika isiwepo kama hofu kwamba zanzibar ingepotea kwani nbona bado tunaita mzanzibar,mpemba na bado tuna tanzania na mtanzania kwani tunaposema mpemba sio mtanzania?sasa inashindikanaje kusema Mtanganyika? mimi nadhani hakuna haja ya kuogopa kusema mtanganyika hii ni kuonyesha tu,kwamba mtu huy katokea upande gani wa Tanzania kama ilivyo kwa mtanganyika anavoeleweka ametoka upande gani wa tanganyika aidha dar,kigoma mara morogoro tabora mwanza N.k