fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,608
- 7,166
Leo kaipigania timu yake ya Mali vibaya sana
Beki ya Mali ipo too solid wamemkinga na michomo hakupata madhara mengiLeo kaipigania timu yake ya Mali vibaya sana
Acha chuki mzee mpongeze hata kinafiki tu hivi yule beki si ndo alitaka kujifunga DD akaokoa.! au ndo u solid unaomaanishaBeki ya Mali ipo too solid wamemkinga na michomo hakupata madhara mengi

Chuki yangu kwake itasadia nini kwenye maisha yangu?Acha chuki mzee mpongeze hata kinafiki tu hivi yule beki si ndo alitaka kujifunga DD akaokoa.! au ndo u solid unaomaanisha![]()
Morocco iliposhinda robo fainali kuingia nusu fainali Africa nzima ilizizima kwa furaha tele hadi mfalme wao aliposema ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Africa kibao kikageuka wote tukaiombea njaa isipite nusu, anyway.. binafsi siwakubali ubaguzi wa muarabu ni zaidi ya kaburu+mjerumani+ mrusi. Ni wabaguzi wa kiwango cha SGR, ni kwasababu Dunia inaenda kasi wanalazimika kushirikiana na Dunia yote.Kwanini hamuwapendi waarabu? Kwani hawapo afrika?
Ubora wa golikipa ni saves sabab kipa anaweza pata cleansheet bila save hata moja kwa kulindwa na mabekiHana cleansheet kwenye michuano kama Foba tu wa stars
Waarabu ni wabaguzi wa kwanza dhidi ya watu weusi, wakifuatiwa na wahindi. Utashangaa kuwa hata wasudani ambao wao wenyewe ni weusi ila nyewele tu, bado wanawabagua watu weusi wenye nywele za kipilipili wkijidai wao ni waarabu.Morocco iliposhinda robo fainali kuingia nusu fainali Africa nzima ilizizima kwa furaha tele hadi mfalme wao aliposema ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Africa kibao kikageuka wote tukaiombea njaa isipite nusu, anyway.. binafsi siwakubali ubaguzi wa muarabu ni zaidi ya kaburu+mjerumani+ mrusi. Ni wabaguzi wa kiwango cha SGR, ni kwasababu Dunia inaenda kasi wanalazimika kushirikiana na Dunia yote.
Waafrika ngozi ya tako nywele kipirpir wabaguliwe popote walipo maana hawana akil hata chembeWaarabu ni wabaguzi wa kwanza dhidi ya watu weusi, wakifuatiwa na wahindi. Utashangaa kuwa hata wasudani ambao wao wenyewe ni weusi ila nyewele tu, bado wanawabagua watu weusi wenye nywele za kipilipili wkijidai wao ni waarabu.
Morocco iliposhinda robo fainali kuingia nusu fainali Africa nzima ilizizima kwa furaha tele hadi mfalme wao aliposema ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Africa kibao kikageuka wote tukaiombea njaa isipite nusu, anyway.. binafsi siwakubali ubaguzi wa muarabu ni zaidi ya kaburu+mjerumani+ mrusi. Ni wabaguzi wa kiwango cha SGR, ni kwasababu Dunia inaenda kasi wanalazimika kushirikiana na Dunia yote.
Jiangalie hapo ulipo una maendeleo gani kwa CHUKI??? kazi kuwachukia waarabu, ingelikua chuki inaleta utajiri basi wewe na wafuata mkumbo wenzio mgelikua matajiri sana.Waarabu ni wabaguzi wa kwanza dhidi ya watu weusi, wakifuatiwa na wahindi. Utashangaa kuwa hata wasudani ambao wao wenyewe ni weusi ila nyewele tu, bado wanawabagua watu weusi wenye nywele za kipilipili wkijidai wao ni waarabu.
Sema tu huwapendi waarabu, hata kabla ya hizo tetesi mliwapenda lini waarabu? Na ndio maana wanaendelea nyie wenye roho mbaya na chuki mtabakia kuwa masikini tu.Morocco iliposhinda robo fainali kuingia nusu fainali Africa nzima ilizizima kwa furaha tele hadi mfalme wao aliposema ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Africa kibao kikageuka wote tukaiombea njaa isipite nusu, anyway.. binafsi siwakubali ubaguzi wa muarabu ni zaidi ya kaburu+mjerumani+ mrusi. Ni wabaguzi wa kiwango cha SGR, ni kwasababu Dunia inaenda kasi wanalazimika kushirikiana na Dunia yote.
Usikute na wewe unajiona mwarabu, yote uliyoongea haiondoi ukweli kwamba waaarabu ni wabaguzi, watu walio neutral kwa races nyingine ni wazungu na weusi na ndo maana wanaoana sana, hizi takataka nyingine zinajibagua hadi zenyewe, uliwahi kumuona mchina ana date muhindi au mwarabu!?,ukisema kuendelea umaskini uko pote hadi nchi nyingi tu za kiarabu vinginevyo uwe huijui Dunia vizuri.Sema tu huwapendi waarabu, hata kabla ya hizo tetesi mliwapenda lini waarabu? Na ndio maana wanaendelea nyie wenye roho mbaya na chuki mtabakia kuwa masikini tu.
Wao ni waarabu na hata kama aliongea kwa ajili ya waarabu pia wako sahihi, maana mnawabagua sana.
Morocco endeleeni kunyoosha pale pale mpaka waseme🔥🔥💪🏽💪🏽
Aliyesema ushindi wao unawakilisha waarabu hakuwa mfalme wao bali alikua ni mchezaji wao moja na naona safari hii hayupo Afcon.Morocco iliposhinda robo fainali kuingia nusu fainali Africa nzima ilizizima kwa furaha tele hadi mfalme wao aliposema ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Africa kibao kikageuka wote tukaiombea njaa isipite nusu, anyway.. binafsi siwakubali ubaguzi wa muarabu ni zaidi ya kaburu+mjerumani+ mrusi. Ni wabaguzi wa kiwango cha SGR, ni kwasababu Dunia inaenda kasi wanalazimika kushirikiana na Dunia yote.
Ona sasa mnajichanganya wenyewe 😄 chuki haimuachi mtu salama, acheni chuki fanyeni kazi. Hebu tuone ka clip kama unachosema ni kweliAliyesema ushindi wao unawakilisha waarabu hakuwa mfalme wao bali alikua ni mchezaji wao moja na naona safari hii hayupo Afcon.
Usikute na wewe unajiona mwarabu, yote uliyoongea haiondoi ukweli kwamba waaarabu ni wabaguzi, watu walio neutral kwa races nyingine ni wazungu na weusi na ndo maana wanaoana sana, hizi takataka nyingine zinajibagua hadi zenyewe, uliwahi kumuona mchina ana date muhindi au mwarabu!?,ukisema kuendelea umaskini uko pote hadi nchi nyingi tu za kiarabu vinginevyo uwe huijui Dunia vizuri.