Djigui Diarra ni shujaa

Djigui Diarra ni shujaa

Ona sasa mnajichanganya wenyewe 😄 chuki haimuachi mtu salama, acheni chuki fanyeni kazi. Hebu tuone ka clip kama unachosema ni kweli
Haufatilii mpira hadi watoto walisikia hii kauli wewe leo hii 2026 unataka clip watu wa siasa mmevamia mpira.
 
Usikute na wewe unajiona mwarabu, yote uliyoongea haiondoi ukweli kwamba waaarabu ni wabaguzi, watu walio neutral kwa races nyingine ni wazungu na weusi na ndo maana wanaoana sana, hizi takataka nyingine zinajibagua hadi zenyewe, uliwahi kumuona mchina ana date muhindi au mwarabu!?,ukisema kuendelea umaskini uko pote hadi nchi nyingi tu za kiarabu vinginevyo uwe huijui Dunia vizuri.
Tukiachana na udini
waarab na wahindi ni wabuguzi sana kwa sisi ngozi nyeusi nimeishi nao na nimesoma nao
sio wote wabaguzi
ila wengi ni wabaguzi mapimbi hawa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom