Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,400
- 2,728
Ni zaidi ya vyetiIssue ni vyeti vya uandishi wa habari - Kama kipanya, caesar, zembwela, kitenge etc
Ni zaidi ya vyetiIssue ni vyeti vya uandishi wa habari - Kama kipanya, caesar, zembwela, kitenge etc
Ililetwa hio baada ya kuona watu wanahoji na kuongea mambo ya msingi wakaonekana ni wapinzaniIssue ni vyeti vya uandishi wa habari - Kama kipanya, caesar, zembwela etc
Fetty ana bachelor of
Wakasomewasipake mate spikaDaah Mwanangu Kitenge ndiyo maana kumbee simsimkii akinyamatika....
Chumviiiii
Mendeeee
Ni sawaIliletwa hio baada ya kuona watu wanahoji na kuongea mambo ya msingi wakaonekana ni wapinzani
Tatizo linaanzia hapaNi sawa
Lakini Fetty hajawahi kuwa biased…. Anapiga kote
Hii ni siasa bhana poli bin ticsAcheni propaganda wakuu ,issue kubwa ni ITHIBATI ,kuna watu wanapiga SPANA kuliko hata Kipanya lakini wapo ,hivi unamjua vizuri CHARLES WILLIAM Shahidi wa JAMHURI(WASAFI) au SAMSON CHARLES(EATV /EA RADIO)? Hao jamaa "hawacheck na wowote" wanapiga SPANA za hatari lakini bado wanaendelea na shughuli.
Hakuna Serikali ambayo inaweza ikatoa order ufukuzwe kwenye ajira bila kuwa na vitu ambavyo watasimamia kama ground ,kwasababu ukifukuzwa kwa order kutoka juu ,mwajiriwa akienda CMA utamlipa fedha za hatari kwa issue ya UNFAIR TERMINATION ,hivyo mwajiri lazima awe na ground ya kukufukuza.
Hapa wengi wanaleta siasa tu kwasababu hawajui chochote kuhusu sheria ya ajira kazini ya mwaka 2004...Mwajiri hawezi kukufukuza bila kuwa na ground lazima afuate mchakato wa kukufukuza na asipofuata mwajiriwa akienda CMA utamlipa pesa ndefu kwasaabu ya UNFAIR TERMINATION.
Nasisitiza DJ Fetty ,Masoud Kipanya ,CZA ,Zembwela ,Kitenge ,Dina Marious na wengine wanaofanana na hao waende Bodi ya ITHIBATI wakasajiliwe.
Siasa ndio maisha yako madam, unaachanaje na kiamuzi cha maisha yako???Afanye tu shughuli zake, aachane kabisa na politics,
Hakuna tatizoTatizo linaanzia hapaView attachment 3417793
Pengine viongozi yafaa wazingatie vipaji,waache mtu aendelee na kazi,huku akijiendeleza taratiiibu.Akasome sasa siku akirudi anakuwa Dr DJ Fetty
Mama si mwanahabariHakuna tatizo
Mama mwenyewe alihudhuria mkutano wa bawacha taifa
Fetty analipwa Laki 4??? Duh kumbe hamna maana KABISA ya kuwa clouds pale Dah!!!!Mtu wa karibu na Fetty amtonye kuacha kung'ang'ana mshahara wa laki 4 clouds ashakua brand kubwa atengeneze ata podcast yake apo full uhuru kuongea unachotaka mtaji wa muhimu ambao ni recognition anayo na C.V yake inajieleza.