Grrrrrrrrr
Anyway may be hujui kutofautisha, dira na vazi linalofunika mwili nzima mpaka shingoni na Hijabu huvaliwa kichwani na kufunika mpaka shingoni.
Jamani acheni hulka hizi maana ni kama mna-offend imani za watu wengine, pia wapo wanachama wa CDM ambao ni waislamu na naamini kabisa wanasononeka sana kwa udhalili huu unaoruhusiwa kujadiliwa humu JF.
Apparently, kutokana na mwamko mkubwa walionao wananchi kwa sasa it's true kwamba wapo baadhi ya waislamu wenye dhamira ya kujiunga rasmi na CDM lakini kwa offensive kama hizi dhidi ya imani za waislamu ni wazi kuwa kutakuwa na kigugumizi.