Diwani wa chadema mbaroni

siemens c25

JF-Expert Member
Oct 16, 2011
217
44
diwani wa kata ya kijitonyama bwana juma uloleulole[chadema] jana alikamatwa na polisi kwa kosa la kujaribu kubaka mpaka muda huu bado yuko lockup ya kituo cha polisi kijitonyama mabatini:eyebrows:
 
diwani wa kata ya kijitonyama bwana juma uloleulole[chadema] jana alikamatwa na polisi kwa kosa la kujaribu kubaka mpaka muda huu bado yuko lockup ya kituo cha polisi kijitonyama mabatini:eyebrows:
Si diwani bali M/kiti wa kitongoji. Ni kwa makusudi umefanya hivi au ni kupitiwa? Si vema kupotosha watu kwani diwani ni nafasi ya juu zaidi ya mtajwa
 
dar hakuna kubakwa maana wanawake wengi ni chips tuu!sema wameamua kumkomoa
 
huyu ndo yule aliye wekewa pingamizi na ccm eti majina yake yanatofautiana?
 
diwani wa kata ya kijitonyama bwana juma uloleulole[chadema] jana alikamatwa na polisi kwa kosa la kujaribu kubaka mpaka muda huu bado yuko lockup ya kituo cha polisi kijitonyama mabatini:eyebrows:
ccm mna hila nyie!!:A S embarassed:
Yaani Mwenyekiti wa Mtaa unamwita DIWANI!....
This is UZUZU JAZZ BAND!
 
aisee.... tusimplaumu sana, shule za kata hizo, hajui tofauti ya diwani, mwenyekiti wala mtendaji
 
But what is the big deal here!!
Kuwa wa CDM au CCM kuna uhusiano gani na tabia asilia ya mtu?
Mtoa mada unataka kujenga hoja gani hapa? come out please
 
Msiwe majuha, mh. Ulole Ulole ni M/kiti wa s/mtaa wa ALLY MAUA na Diwani wa kata ya Kijitonyama kama hampo informed
 
diwani wa kata ya kijitonyama bwana juma uloleulole[chadema] jana alikamatwa na polisi kwa kosa la kujaribu kubaka mpaka muda huu bado yuko lockup ya kituo cha polisi kijitonyama mabatini:eyebrows:
Ina maana hana mke ama girlfriend
 
Si diwani bali M/kiti wa kitongoji. Ni kwa makusudi umefanya hivi au ni kupitiwa? Si vema kupotosha watu kwani diwani ni nafasi ya juu zaidi ya mtajwa

Mkubwa!

Ni kwamba nahisi huyu mrusha thread amepigiwa simu tu.
Sasa kwa ile haraka haraka ya bila hata kutaka kujua nini afanye akaamua kudanganya jamii hivi hivi na labda akifikiri vichwa vya watu wote ni sawa na yake kilaza huyu!

Jinga kweli!
 
Si diwani bali M/kiti wa kitongoji. Ni kwa makusudi umefanya hivi au ni kupitiwa? Si vema kupotosha watu kwani diwani ni nafasi ya juu zaidi ya mtajwa

Diwani mteule wa kata ya Kijitonyama kwa Ali Maua, Mhe. Juma Athumani Ulole Ulole anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kutaka kumbaka binti mmoja kwa ahadi ya kumtafutia kazi huko Mashariki ya Kati.
Ulole Ulole ni diwani mteule wa kata hiyo kwa tiketi ya CHADEMA ingawa matokeo ya uchaguzi huo yalibatilishwa na mahakama hivyo kubatilisha ushindi wake.
Kwa mujibu wa binti aliyedaiwa kutaka kubakwa, diwani huyo alimuita katika guest house moja na kufanya jaribio la kufanya nae mapenzi ambapo binti huyo aligoma na baadae kwenda kutoa taaarifa kituo sha polisi.
Chanzo: ITV
Kwa mtazamo wangu, kuna jambo linataka kutendeka hapa, maelezo ya polisi yanadai kuwa, diwani ali-attempt kumuingilia binti kwa nguvu, wakati ibinti mwenyewe anadai kuwa diwani aliomba penzi, na si kulazimisha kama taarifa ya polisi inavyodai. Na kama ni kweli aliyoyasema binti kwenye chombo cha habari, kwanini kesi ya msingi isiwe ni ya kuomba rushwa ya ngono badala ya jaribio la kubaka?
Kuna kila dalili ya huyu binti kutumiwa na watu fulani, hasa aliyekuwa mgombea udiwani wa kata hiyo kwa tiketi ya CCM, Ndugu Said Bulembo aliyeshindwa katika uchaguzi huo licha ya kutumia fedha kuhonga wapiga kura pamoja na chakula. Wasiwasi unakuwa mwingi kutokana na mazingira husika, kuna jaribio la kubaka linalofanyika gesti wajameni?
 
Si diwani bali M/kiti wa kitongoji. Ni kwa makusudi umefanya hivi au ni kupitiwa? Si vema kupotosha watu kwani diwani ni nafasi ya juu zaidi ya mtajwa

CCM wanajua kusema ya wenzao na kuyafanya kuwa makubwa. CCM watuambie yule kiongozi wao mkubwa aliyemchukua mke wa mtu kule Igunga wakati wa kampeni ya ubunge mwaka jana mbona hawakumsema?
 
Back
Top Bottom