afsa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 1,986
- 1,592
Joseph K. Malongo ni diwani aliyemaliza muda wake kwa tiketi ya CCM. Ametubu. Ameziacha dhambi zake. Amehamia CHADEMA.
Ni diwani wa kata ya Nata - jimbo la Nzega, amehama na kundi kubwa la wanachama akiwemo mchumi wa CCM kata na aloyekuwa m/kiti wa nata.
Tumewakaribisha, Tumewasamehe dhambi zao. Tunaendelea na ukombozi.
Ni diwani wa kata ya Nata - jimbo la Nzega, amehama na kundi kubwa la wanachama akiwemo mchumi wa CCM kata na aloyekuwa m/kiti wa nata.
Tumewakaribisha, Tumewasamehe dhambi zao. Tunaendelea na ukombozi.