Diwani Nanyaro Ephata

Mumwi

JF-Expert Member
Jan 9, 2011
592
122
Huyu Diwani ni mpiganaji ila Kama kweli walirubuniwa wakaingia kwenye mtego wa kupokea chochote toka kwa wanamagamba mpaka kumtambua meya Wa Arusha sijaelewa ni kwa nini walimgeuka mheshimiwa Lema? Sisi wapenzi Wa chadema Arusha hatukutegemea kutokea kitu Kama hicho tunaomba tu wawe wazi kurekebisha hui utata.
 
Nina imani sana na viongozi wangu cdm! Kutakuwa na matatizo kuhusu muafaka lakini siamini kwamba huyu jamaa kapewa takrima. Kwa vile ni member humu jf, naamini atatoa ufafanuzi!
 
wakuu
Ni kweli muafaka ulifikiwa,na katika hatua za mwanzoni za mchakato nilikuwa mmoja wa wajumbe,nikiwakilisha mkoa,ila hatukufikia hitimisho,na mchakato ulikuwa unaendelea,
Kimsingi mimi nilipinga kufanya aina hii ya muafaka na huu ndio msimamo wangu,kuwa sikubali muafaka wa kugawana vyeo
 
wakuu

Kimsingi mimi nilipinga kufanya aina hii ya muafaka na huu ndio msimamo wangu,kuwa sikubali muafaka wa kugawana vyeo

nashukuru, hapa tumemalizana na wewe, kila diwani ni lazima aje atoe ufafanuzi yeye mwenyewe hatuhitaji mwakilishi
 
wakuuNi kweli muafaka ulifikiwa,na katika hatua za mwanzoni za mchakato nilikuwa mmoja wa wajumbe,nikiwakilisha mkoa,ila hatukufikia hitimisho,na mchakato ulikuwa unaendelea,Kimsingi mimi nilipinga kufanya aina hii ya muafaka na huu ndio msimamo wangu,kuwa sikubali muafaka wa kugawana vyeo
Nashukuru sana mimi Kama mto mada hii nilikuwa siamini kabisa kwamba
 
wakuu
Ni kweli muafaka ulifikiwa,na katika hatua za mwanzoni za mchakato nilikuwa mmoja wa wajumbe,nikiwakilisha mkoa,ila hatukufikia hitimisho,na mchakato ulikuwa unaendelea,
Kimsingi mimi nilipinga kufanya aina hii ya muafaka na huu ndio msimamo wangu,kuwa sikubali muafaka wa kugawana vyeo
Mlifikia muafaka kabla ya kufikia hitimisho?How does that work?
 
wakuuNi kweli muafaka ulifikiwa,na katika hatua za mwanzoni za mchakato nilikuwa mmoja wa wajumbe,nikiwakilisha mkoa,ila hatukufikia hitimisho,na mchakato ulikuwa unaendelea,Kimsingi mimi nilipinga kufanya aina hii ya muafaka na huu ndio msimamo wangu,kuwa sikubali muafaka wa kugawana vyeo
Nashukuru sana mimi Kama mto mada hii nilikuwa siamini kabisa kwamba umeshiriki kwenye muafaka wenye utata mimi nakufahamu mpambanaji mzuri katika kuutafuta ukombozi Wa nchi hii kutoka mikononi mwa magamba yasiovulika japokuwa wanajaribu kujivua lakini ngumu, Bado Diwani Bayo sijajua msimamo wake. Hongera Nanyaro Ephata kwa kuturidhisha sisi wanachadema Arusha.
 
Nimemsikiza hata Mbowe akizungumza mchana, amesema wao kama chadema hawautambui muafaka wa arusha. Sasa nini kilitokea kwa madiwani wetu hawa? Haielezeki.
 
Sasa mh.diwani Nanyaro sentesi yako ya kwanza umesema ni kweli muafaka ulifikiwa!Ulifikiwaje?
 
Kwa kuwa Mbowe amesema cdm hawautambui mwafaka, tunaomba sasa chama kitoe tamko na watueleze ni nini hasa kilichotokea kwenye kikao cha madiwani! Hapo ndio patatuondolea utata.
 
Jamani mnataka nini?mbowe kasema watachunguza ili wajue ni akinanani waliafikiana then watatupa jibu,sasa mnataka tamko gani?subirini chakula kikiwa tayari khtaletwa hapa mezani then tutakula.subila yavuta heri.
 
Hii mambo inachanganya........huu muafaka ulitokeaje wakati mpaka sasa nimesikia makamanda watatu hawakukubaliana nao.....Lema, Nanyaro, Mbowe..........hii imekaaje makamanda........mnanyong'onyesha mioyo.....ari ya ukombozi inapungua sasa
 
Mnyakatari,typing error,ni kwamba mchakato wa kutafuta muafaka ulikuwa umeanza,na mimi nilikuwa sehemu ya wajumbe,
Ila hatukuwahi hata mara moja kufikia hitimisho,
 
kama ni kweli ntamchapa viboko ni dogo langu liliniomba kura na pia akanambia nimpigie kampeni, hakika naumia kama ni kweli...naweza kujinyonga
Huyu Diwani ni mpiganaji ila Kama kweli walirubuniwa wakaingia kwenye mtego wa kupokea chochote toka kwa wanamagamba mpaka kumtambua meya Wa Arusha sijaelewa ni kwa nini walimgeuka mheshimiwa Lema? Sisi wapenzi Wa chadema Arusha hatukutegemea kutokea kitu Kama hicho tunaomba tu wawe wazi kurekebisha hui utata.
 
kumbe upo hapa, asante fanya ivi ntakutafuta kesho useme ukweli najua unanifahamu sana jamani ntawajuza kesho nikiongea na... asante diwani wangu niliyekupa kura.
wakuu
Ni kweli muafaka ulifikiwa,na katika hatua za mwanzoni za mchakato nilikuwa mmoja wa wajumbe,nikiwakilisha mkoa,ila hatukufikia hitimisho,na mchakato ulikuwa unaendelea,
Kimsingi mimi nilipinga kufanya aina hii ya muafaka na huu ndio msimamo wangu,kuwa sikubali muafaka wa kugawana vyeo
 
Back
Top Bottom