Diwani mwingine wa CHADEMA aunga mkono juhudi za Serikali !

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
KUMEKUCHA ARUMERU DIWANI WA TATU ATIMKA CHADEMA

Katika hali ambayo imezua taharuki katika wilaya ya Arumeru ni leo ijumaa 12/07/2019 ambapo madiwani wa Tatu ndani ya siku mbili kuondoka Chadema na kujivua nafasi zake zote ikiwemo udiwani na kujiunga na chama cha mapinduzi CCM

Alieondoka wa tatu ni Ndugu Lothi ole Mungaya diwani kata ya ilkiding’a Halmashauri ya Arusha Dc Wilaya ya Arumeru ambae amejiunga ccm kwa kuunga mkono jitihada za Mhe, Rais, Dkt. John Pombe Magufuli

Kwa hali hii sasa chama cha Mapinduzi kimefikisha kata 16 , wakati chama cha chadema kina kata 13

Imetolewa na ofisi ya mkurugenzi halmashauri ya Arusha
12/07/2019

VIVA JPM...Njia ni nyeupe 2020
 
AISEEEEEE!!!!!!!!!!

Naona kwenye vote "2000" mpunga umeingia na matumizi yameanza!!!!

Hakika lazima uchumi ukue kwa asilimi 7 na zaidi!!
 
.
IMG_20190712_201527.jpeg
 
KUMEKUCHA ARUMERU DIWANI WA TATU ATIMKA CHADEMA
Ndugu Lothi ole Mungaya diwani kata ya ilkiding’a amejiunga ccm kwa kuunga mkono jitihada za Mhe, Rais, Dkt. John Pombe Magufuli

VIVA JPM...Njia ni nyeupe 2020
Mkuu Jingalao, kwanza asante kwa taarifa hii.
Kwa hali ya siasa za nchi yetu kwa sasa, the political atmosphere, kwa mtu yoyote mwenye political ambition ya future in politics, CCM ndio mpango mzima.

Hili nililisema hapa

P
 
KUMEKUCHA ARUMERU DIWANI WA TATU ATIMKA CHADEMA

Katika hali ambayo imezua taharuki katika wilaya ya Arumeru ni leo ijumaa 12/07/2019 ambapo madiwani wa Tatu ndani ya siku mbili kuondoka Chadema na kujivua nafasi zake zote ikiwemo udiwani na kujiunga na chama cha mapinduzi CCM

Alieondoka wa tatu ni Ndugu Lothi ole Mungaya diwani kata ya ilkiding’a Halmashauri ya Arusha Dc Wilaya ya Arumeru ambae amejiunga ccm kwa kuunga mkono jitihada za Mhe, Rais, Dkt. John Pombe Magufuli

Kwa hali hii sasa chama cha Mapinduzi kimefikisha kata 16 , wakati chama cha chadema kina kata 13

Imetolewa na ofisi ya mkurugenzi halmashauri ya Arusha
12/07/2019

VIVA JPM...Njia ni nyeupe 2020
kama hii taarifa imetolewa na ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri basi shida ipo kubwa
 
KUMEKUCHA ARUMERU DIWANI WA TATU ATIMKA CHADEMA

Katika hali ambayo imezua taharuki katika wilaya ya Arumeru ni leo ijumaa 12/07/2019 ambapo madiwani wa Tatu ndani ya siku mbili kuondoka Chadema na kujivua nafasi zake zote ikiwemo udiwani na kujiunga na chama cha mapinduzi CCM

Alieondoka wa tatu ni Ndugu Lothi ole Mungaya diwani kata ya ilkiding’a Halmashauri ya Arusha Dc Wilaya ya Arumeru ambae amejiunga ccm kwa kuunga mkono jitihada za Mhe, Rais, Dkt. John Pombe Magufuli

Kwa hali hii sasa chama cha Mapinduzi kimefikisha kata 16 , wakati chama cha chadema kina kata 13

Imetolewa na ofisi ya mkurugenzi halmashauri ya Arusha
12/07/2019

VIVA JPM...Njia ni nyeupe 2020
Majamaa ya ufipa yanakasirika kweli yakisikia hivi. Yanabaki kutukana hovyo.
 
Back
Top Bottom