Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Kwa muda wa wiki mbili,diwani kata ya Usevya,tarafa ya mpimbwe jimbo la mpanda mashariki kwa waziri mkuu Mizengo Pinda, kupitia CCM ndugu Jossam Karihosi alikamatwa kwa akiwa na pembe za ndovu nyumbani kwake.
Hivi sasa yupo nje kwa dhamana. Watu wengine wanaohusishwa na biashara hiyo ni ndugu Sindi na Hawe.
My take:CCM ni hatari kwa ujangili wa wanyamapori.
Cc Lemutuz,ritz,zermacopolo,simiyu yetu,chama,chabruma,Hammy D,mwanadiwani,T2015CCM nk
Hivi sasa yupo nje kwa dhamana. Watu wengine wanaohusishwa na biashara hiyo ni ndugu Sindi na Hawe.
My take:CCM ni hatari kwa ujangili wa wanyamapori.
Cc Lemutuz,ritz,zermacopolo,simiyu yetu,chama,chabruma,Hammy D,mwanadiwani,T2015CCM nk