mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,514
- 6,070
Askofu Gwajima kaweka wazi kabisa
1. Kuna kikundi kidogo kinachotumwa na Rais kwa manufaa yake mwenyewe ya kisiasa , kinachopelekea watu kuteswa , kuumizwa vibaya sana au hata kuuawa na kupotezwa kabisa
2. Jeshi la polisi na usalama wa taifa kwa ujumla hawahusiki na utekaji , isipokuwa wanapoanza kufanya uchunguzi juu ya watekaji , wanagundua kuwa kuna kundi dogo ambalo nyuma yake ipo mamlaka ya uteuzi inayowateua wakuu hao, na hivyo wanaufyata.
Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka
Tukiconect dots kidogo
back in April 24, wanachama wa CHADEMA walikamatwa mbele ya mahakama , wakateswa kisha kwenda kutupwa maporini, days later, Murilo anahojiwa anasema kuwa polisi hawahusiki, kaweka wazi waliokamatwa ni Heche na Mnyika, zen kaauliza , ni nani aliyejeruhiwa kati ya hao?
Je , Muliro alikuwa ni mwehu kusema jeshi la polisi halihusiki katika hili? No, Muliro alijua anachoongea , hapa anamaanisha kuna kundi dogo linavaa uniform za polisi ambalo kazi zao ni kuteka , kutesa na kuua.
siku moja kabla ya wanaharakati wa kenya na ugandwa kukamatwa, kuteswa na kutelekezwa mipakani , Rais alizungumza kitu gani? ( hapa kuna dots ukiziunga, ukajumlisha na yaliyosemwa na Ask Gwajima, utagundua yes She is the one behind haya yanayoendelea)
GWAJIMA ANA DATA KAMILI, NA SIO YEYE TU ANACHUKIZWA NA HILI SUALA LA TEKA TEKA, KUNA WATU NYUMA YA GWAJIMA.
Muwe na ibada Njema
1. Kuna kikundi kidogo kinachotumwa na Rais kwa manufaa yake mwenyewe ya kisiasa , kinachopelekea watu kuteswa , kuumizwa vibaya sana au hata kuuawa na kupotezwa kabisa
2. Jeshi la polisi na usalama wa taifa kwa ujumla hawahusiki na utekaji , isipokuwa wanapoanza kufanya uchunguzi juu ya watekaji , wanagundua kuwa kuna kundi dogo ambalo nyuma yake ipo mamlaka ya uteuzi inayowateua wakuu hao, na hivyo wanaufyata.
Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka
Tukiconect dots kidogo
back in April 24, wanachama wa CHADEMA walikamatwa mbele ya mahakama , wakateswa kisha kwenda kutupwa maporini, days later, Murilo anahojiwa anasema kuwa polisi hawahusiki, kaweka wazi waliokamatwa ni Heche na Mnyika, zen kaauliza , ni nani aliyejeruhiwa kati ya hao?
Je , Muliro alikuwa ni mwehu kusema jeshi la polisi halihusiki katika hili? No, Muliro alijua anachoongea , hapa anamaanisha kuna kundi dogo linavaa uniform za polisi ambalo kazi zao ni kuteka , kutesa na kuua.
siku moja kabla ya wanaharakati wa kenya na ugandwa kukamatwa, kuteswa na kutelekezwa mipakani , Rais alizungumza kitu gani? ( hapa kuna dots ukiziunga, ukajumlisha na yaliyosemwa na Ask Gwajima, utagundua yes She is the one behind haya yanayoendelea)
GWAJIMA ANA DATA KAMILI, NA SIO YEYE TU ANACHUKIZWA NA HILI SUALA LA TEKA TEKA, KUNA WATU NYUMA YA GWAJIMA.
Muwe na ibada Njema