RUGAHIMBILA E R
Member
- Mar 5, 2009
- 95
- 32
Wakuu wenye ufahamu naomba mnijuze. Mdogo wangu wa kike kapata div 111 point 25 kama ifuatavyo;
english-b; civics-c; maths-d; kiswahili-d; art-d; bible-d; history-d; geography-d; history-d.
1. Je anaweza kupata nafasi kuchaguliwa form 5?
2. Je ni kweli kwamba lazima apate c tatu ndo aweze kufanya acsee?
3. Je kuna tofauti gani kati ya huyu mwenye 111 ya 25 lakini hana f na mwenye 1v ya 27 lakini anazo c tatu na amefeli baadhi ya vipindi?
Tafadhali naomba mwongozo kwa mwenye kujua utaratibu wa wizara na necta
english-b; civics-c; maths-d; kiswahili-d; art-d; bible-d; history-d; geography-d; history-d.
1. Je anaweza kupata nafasi kuchaguliwa form 5?
2. Je ni kweli kwamba lazima apate c tatu ndo aweze kufanya acsee?
3. Je kuna tofauti gani kati ya huyu mwenye 111 ya 25 lakini hana f na mwenye 1v ya 27 lakini anazo c tatu na amefeli baadhi ya vipindi?
Tafadhali naomba mwongozo kwa mwenye kujua utaratibu wa wizara na necta