Mkuu naunga mkono hoja... Me si mwanafunzi wa dit ila coet niwatupu site... Imagine mwanafunzi wa mwaka wa 3 civil hajui size ya nondo kwa kuitazama tu..anashindwa hata grades za concrete!!nilikutana na wanafunzi wa COET field ni pumba tupu kila kitu hawajui
Tatizo si mwalimu tatizo ni sera na mfumo wa chuo... Ni sawa na kufananisha huduma za hospital za serikali na binafsi wakati madaktari wengi wa hospital binafsi hufanya kazi na niwaajiliwa wa hospital za serikal... Si swala la wanafunzi wa dit kufundishwa na walimu wa udsm kuwa lazima wazidiwe na coet hilo ondoa kabisa... Coet mko watupu kichwani mnakalilishwa madesa na stress za kudisco.. Me si mwanafunzi wa dit ila wanawapiga bao katika fields zote za engineering.Naona hatuelewani, DIT ni institute, UD ni University, kama waongea swala wanafunzi vs wanafunzi hayo mengine, ila nachojuwa DIT inafundishwa na walimu waliotoka UD..
Hahahahahaha! Traffic light projects za secondary.
Ongezeni juhudi
Kumekuwa na threads mbalimbali za kulinganishwa vyuo hivi Dit na Coet eti kipi ni bora,sasa tulinganishe projects zao kati ya dit na coet tuone wapi wako vizuri,wanaosema coet watoe na ushahidi wa projects zao zinazotambulika na dit vivyo hivyo karibuni wadau
Hao ndio Dit
Wako busy na project
- WanaCOET waje wajitetee naona sifa mbaya zimeelekea kwao.
Eti nini?? Diproma????? Basi wameendelea sana badala ya diploma wanatoa dipromaaNdio mfano ni mimi binafsi nilimaliza DIT diproma ya Civil Engineering nikaja coet degree naingia kwaka wa 4 sasa ila najuta kwa nini hawakunibakiza DIT kwa sababu hadi saizi knowledge nilizo pata diproma ndo zinanisaidia hadi saizi kuliko ninacho kipata saizi zaidi ya Umbea mwingi bila action.
Typing error ni jambo la kawaida swala la msingi simamia point sio kukosoa votu vidogo kama hivyo.Di
Eti nini?? Diproma????? Basi wameendelea sana badala ya diploma wanatoa dipromaa
Hivi huu uongo unawasaidia nin, unasema wanafunzi wa CoET ni watupu kichwani, hivi unajua kwenye industry ya construction kuna makampuni mangapi ya kizalendo yaliyoajiri wahandisi kutoka CoET au yaliyoanzishwa na wahandisi toka CoET,embu tuambien basi mmekazania tu wanafunzi wa CoET wanakaririshwa mara hawajui hawapo practical tuambiane hzo practical zinazofanywa D. I. T.na UDSM hawafanyi..Tatizo si mwalimu tatizo ni sera na mfumo wa chuo... Ni sawa na kufananisha huduma za hospital za serikali na binafsi wakati madaktari wengi wa hospital binafsi hufanya kazi na niwaajiliwa wa hospital za serikal... Si swala la wanafunzi wa dit kufundishwa na walimu wa udsm kuwa lazima wazidiwe na coet hilo ondoa kabisa... Coet mko watupu kichwani mnakalilishwa madesa na stress za kudisco.. Me si mwanafunzi wa dit ila wanawapiga bao katika fields zote za engineering.
.Katika carrier yangu yangu ya civil engineering...project zote nilizowahi kupitia.. Nimegundua elimu ya coet inawapumbaza wanafunzi...wanateswa sana kwenye madesa ila site work hawajui...design hawajui...!! Me sikuwahi kusoma DIT ila product za dit ni nzuri na wanauzika mtaani...wako vizuri sana compared to coet..
.bado utambue DIT ilianza kabla ya coet jiulize Sasa walimu walikua wanatoka UD?
.Ndio mfano ni mimi binafsi nilimaliza DIT diproma ya Civil Engineering nikaja coet degree naingia kwaka wa 4 sasa ila najuta kwa nini hawakunibakiza DIT kwa sababu hadi saizi knowledge nilizo pata diproma ndo zinanisaidia hadi saizi kuliko ninacho kipata saizi zaidi ya Umbea mwingi bila action.
Hahahahaha yani hua nashangaa sana tu vyuo tudogotudogo ndio hua wanajiringanisha na UDSM Ila hata siku moja huwezi kuta UDSM ikajiringanisha na vyuo vingne
Na katika hali ya kawaida kitu dhaifu hua kinatafuta kila namna ya kuangalia ubora wake na kitu ngangali maana Ile ndio standard ya ku conform
Coet hawanAga mda Wa kujilinganisha na vyuo vingine sababu najua inafahamika wazi
Sign out
Ndio mfano ni mimi binafsi nilimaliza DIT diproma ya Civil Engineering nikaja coet degree naingia kwaka wa 4 sasa ila najuta kwa nini hawakunibakiza DIT kwa sababu hadi saizi knowledge nilizo pata diproma ndo zinanisaidia hadi saizi kuliko ninacho kipata saizi zaidi ya Umbea mwingi bila action.
Mkuu watoto hawajui kitu tatizo wakishasoma hizo diploma za kunga unga wanafananisha na COET.
Naona umesahau ilikuwa inaitwa Faculty of Engineering (FOE) Est.1973
Mm najalia the Competency iliyopo baina ya Wahusika Hawa wawili ..though Udsm Ni kama JAY Z Hata aspotoa wimbo atapata hata tuzo ya heshima
Atakuwa alijuta baada ya kukuta Kila coursework Ana chini ya kumi....kama kuandika diploma imekuwa kazi nafikiri hata hapo college of engineering and technology utakuwa unapita tu ukiwa unaenda changanyikeni