barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Hata MIT(Michigan Institute of Technology) ni institute ila habari yake duniani watu anaijua.Hahahaha yaani unalinganisha institute na university - coet . Hebu acha kulinganisha coet na mambo yakijinga.
Yaani projects au researches na publications ndizo zinazoweka chuo kuwa juu na bora kuzidie mwenzake.
Sasa hiyo institute yenyewe inafundishwa na walimu Toka coet ambao ni sample tu.
Hahahaha yaani unalinganisha institute na university - coet . Hebu acha kulinganisha coet na mambo yakijinga.
Yaani projects au researches na publications ndizo zinazoweka chuo kuwa juu na bora kuzidie mwenzake.
Sasa hiyo institute yenyewe inafundishwa na walimu Toka coet ambao ni sample tu.
Umekosea sana, huwezi linganisha Institute na University, wanaofundisha DIT wanatoka UDSM! Au labda ulimaanisha kivingine...
Hapo sasa, sijuwi kwanini watu wanaidharau UDSM?! Kama wewe mbabe wa elimu nenda pale ukashindane na mmoja wao uone cha moto...
Udsm wazuri ktk kuhifadhi vitu kichwani ila hawako practical, huu ni ukweli. Tunakutana nao huku mitaani, wanajivunia kutoka udsm coet ila kiupambanaji, bado! Wakiingia kazini kati ya wa udsm na dit, ni vitu viwili tofauti! Wa dit mara nyingi wako practical na wanajua vitu vingi, pia wapo current na trend ya technology duniani.Umekosea sana, huwezi linganisha Institute na University, wanaofundisha DIT wanatoka UDSM! Au labda ulimaanisha kivingine...
Hapo sasa, sijuwi kwanini watu wanaidharau UDSM?! Kama wewe mbabe wa elimu nenda pale ukashindane na mmoja wao uone cha moto...
Unajua kuwa MIT inashindanishwa na Yale, Oxford etc!???Hahahaha yaani unalinganisha institute na university - coet . Hebu acha kulinganisha coet na mambo yakijinga.
Yaani projects au researches na publications ndizo zinazoweka chuo kuwa juu na bora kuzidie mwenzake.
Sasa hiyo institute yenyewe inafundishwa na walimu Toka coet ambao ni sample tu.
Unamaanisha wapo Coet, wanajutia kuwepo CoetWapo Coet pia wanatamani kua DIT
Unaweza lingansha Massachusetts Institute of Technology na COET?Hahahaha yaani unalinganisha institute na university - coet . Hebu acha kulinganisha coet na mambo yakijinga.
Yaani projects au researches na publications ndizo zinazoweka chuo kuwa juu na bora kuzidie mwenzake.
Sasa hiyo institute yenyewe inafundishwa na walimu Toka coet ambao ni sample tu.
Bila shaka we ni ngwiniKumekuwa na threads mbalimbali za kulinganishwa vyuo hivi Dit na Coet eti kipi ni bora,sasa tulinganishe projects zao kati ya dit na coet tuone wapi wako vizuri,wanaosema coet watoe na ushahidi wa projects zao zinazotambulika na dit vivyo hivyo karibuni wadau
Weka hizo projects unazozijua ili wadau walinganishe.Kumekuwa na threads mbalimbali za kulinganishwa vyuo hivi Dit na Coet eti kipi ni bora,sasa tulinganishe projects zao kati ya dit na coet tuone wapi wako vizuri,wanaosema coet watoe na ushahidi wa projects zao zinazotambulika na dit vivyo hivyo karibuni wadau
Hii comment imebeba comments 50 za humu ndani.Mtoa hoja hujaonyesha unataka kupambanisha DIT na UDSM kwenye eneo gani maana kwa kuanzia tu kwenye ithibaki zao ni kuwa UD ni knowledge based trainings while DIT is competence based trainings kwa hiyo tayari kwenye utendaji wao wanatofautiana kwenye wanafunzi waliomaliza japo kwa sasa DIT wanatoa mpaka master kama ilivyo kwa COET ambacho ni college ya UDSM.Kwa hiyo hata project zao zinaweza kuwa tofauti sana kama ndy unataka kuziangalia maana tayari DIT kwa huduma za kijamii wamefanya mengi zaidi kuliko COET kutokana na wao ni Knowledge based na kwa upande wa wa paper publication COET wakufunzi wanazo paper nyingi zaidi ambazo labda inawezekana DIT wamezitumia for implimentation kwa hiyo hamna sehemu unaweza kuzilinganisha pamoja unless useme wewe mtoa muda unataka kulenga wapi ili wadau wakupe mfano hapo juu kuna mdau amesema DIT wanafanya project za Trafiic lights na wamefanya maeneo mengi Jiji la dar Es salaama na kule Zanzibar,wizi wa mafuta ya kwenye transfomer Tanesco,various packing machine,Incubators machines,mizinga ya nyuki ya kielectronic,kubadili petrol engine kwenda GAS na vingine vingi ambavyo vinamlenga mwananchi wa kawaidas unaweze kujiridhisha kwenye tovuti yao Ila kwa COEt wao wapo kwenye publication
Kama graduets wa udism hawawezi kutofautisha neno college, institute, university na university college basi tuna kazi ya ziada ya ziada ya kuendelea kukagua uwezo wa graduets wetu.Kumbe COET ni University.....
Hahahahahaha! Traffic light projects za secondary.DIT wanafanya project nyingi sana mfano wameshawahi tengeneza traffic light na zimesaidia sana jijini Dar es salaam, vipi huko UDSM?
Ndio mfano ni mimi binafsi nilimaliza DIT diproma ya Civil Engineering nikaja coet degree naingia kwaka wa 4 sasa ila najuta kwa nini hawakunibakiza DIT kwa sababu hadi saizi knowledge nilizo pata diproma ndo zinanisaidia hadi saizi kuliko ninacho kipata saizi zaidi ya Umbea mwingi bila action.Unamaanisha wapo Coet, wanajutia kuwepo Coet