Umekosea sana, huwezi linganisha Institute na University, wanaofundisha DIT wanatoka UDSM! Au labda ulimaanisha kivingine...
Hapo sasa, sijuwi kwanini watu wanaidharau UDSM?! Kama wewe mbabe wa elimu nenda pale ukashindane na mmoja wao uone cha moto...