Mariam Sikazwe
Member
- May 12, 2016
- 27
- 11
Habari wadau ningependa kujua aliyeapply nacte kwa kozi hiyo ambaye amechaguliwa naomba kupsta uzoefu wake namna alivyofanya maana mimi nimekosa sijui kwa kuwa nina mwaka mmoja kazini sijapewa sababu.
Msaada please
Msaada please