KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,768
- 39,529
Sijui dikshonari niliiweka wapi...???...
the boss anaweza tafisir vizur kama ulishafatilia michango yake.ila dah kidhungu kinaumiza mashavu dah
Duuuh bas leo kila m'baba hum atajifanya hendsam
Duuuh bas leo kila m'baba hum atajifanya hendsam
Preta au Honey Faith ?Tutafsiri shemegi hata Preta nae anaona vinyota nyota tu
Naomba unitafsirie?
Nimekumiss sana ingawa mi sio hendsam!!!
Hata wewe mbona ni handsam.
Weee tangu lini masai akawa sio hendsam
Mie mutant!!!
wanaume wengine wazuuuuuriii had ukimvalisha kimini kinakubali hahahaaaaa
Hb Wengi Wengi Wazembe Bed Mungu Hakupi Vyote..
Wakikusikia utakimbia mji.
Hb Wengi Wengi Wazembe Bed Mungu Hakupi Vyote..