Yaan ni sehemu/kipande cha transcription ambacho hakijakamilika.. Ilikuwa haijakamilika kwa matokeo yote ya semester.. Ndo inaitwa partial/progressive transcription
Angalia hiyoWanatoa kwa mfumo UPI.. Jaribu hata kuweka screenshot yoyote basi tuone
Wameniandikia hivyo hapo nasubiri mkopo2[emoji39][emoji39]Angalia hiyoView attachment 1587111
Angalia hiyoView attachment 1587111
Hapo subiri Maswala mazima[emoji1787][emoji39]Na mimi wameniandikia kama ivo ina maana hapo hamna shida
Mwaka huu wamerahisisha saanaNami naona hvView attachment 1587123
Mziki upo kwe kupewa mkopo mzee, mimi mwaka jana niliomba na sikukosea nkakosa nika-appeal nikakosa kwa hiyo hapo bado safari ipo.Hapo subiri Maswala mazima[emoji1787][emoji39]
Kozi gani Mkuu, walikunyima mkopo?Nz
Mziki upo kwe kupewa mkopo mzee ,mm mwaka jana niliomba na sikukosea nkakosa nka appeal nkakosa kwaio hapo bado safar ipo
Habari wana JF, naombeni kuuliza., Ivi kama kwenye application ya mkopo na mahali nilikosea na ni ya muhimu sana na nikaprint ile document kana kwamba sina uwezo wa ku-Edit tena, je nitafanyaje ili niweze kutatua ilo tatizo, au nikifika kwenye ofisi zao wataweza kunitatulia, poleni na naombeni msaada wenu wa majibu..
BA-AFKozi gani Mkuu, walikunyima mkopo?
Tuombe Mungu. Mwaka huu upateBA-AF
Hapo sina uzoefu napo Mkuu, tusubili wajuvi zaidi.Naombeni mawazo wakubwa, nipate atleast muongozo