Direct Sales Agent Anahitajika

Direct Sales Agent Anahitajika

kuandika kiswahili kwa watanzania wengi ni shida.............
 
Tuna wasiwasi na matokeo yenu ya mitihani ya Kiswahili tangu shule ya msingi wote mliokosea,ha ha ha haaa!
 
WANASALIMU WANA JF:
Natafuta DSA (Direct sales Agent) katika maeneo yafuatayo: KATESH NA DISTRICT ZA SINGIDA>

SIFA:
1.Awe ameshafanya kazi ya mauzo(sales)
2.awe anajua kusoma na kuandika
3.jinsi yeyote
4.awe mchapakazi

MALIPO:
Commission na pia atakuwa anapata retainer.
Kwawanaohitaji wasiliana nami kwa innomacha8427@gmail.com

Wewe unazalisha/unaimport bidhaa gani?
 
Mkuu kuna jamaa yangu anatafuta kazi hapo kwenye retainer unaweza ukafafanua kidogo, (inalipwa as a one-off au kila mwezi), Pia kabla sijampatia hio email ili akutafute, ingependeza kama ungesema ni products gani atakazokuwa anauza.
 
NAWASHUKURU SANA WANAJF KWA KUONYESHA UHITAJI WENU....
NAPENDA KUFAFANUA JAMBO MANA WAOMBAJI WAMEKUWA WENGI HASA KUTOKA DSM.

KAZI HII YA DIRECT SALES AGENT(DSA) MALIPO YAKE NI COMMISSION NA RETAINER. KWA WALE WALIOWAHI KUFANYA KAZI YA MAUZO NADHANI WANAELEWA MAANA YA COMMISSION. ILA KWA RETAINER INAKUWA KAMA FIXED SALARY HIVI ILA INGAWA HAINA MAANA IYONAKARIBIANA NA HII NI MPAKA UWE UMEFANYA MAUZO MIEZI SITA MFULULIZO ULE MWEZI WA MWISHO(6) NDO UNAPEWA. HATA KAMA NI 1,000,000/=. HII NDO INAKUWA RETAINER YAKO KWA KIPINDI CHOTE UTAKACHOKUWA KATIKA BANKI HII. UNALIPWA KABLA HATA YA KUFANYA MAUZO YA MWEZI MWINGINE NAMAANISHA WA SABA(7) NA INAKUWA NI CONSTANT.

WALIONIPA NAMBA ZA SIMU NIMEWAFAFANULIA HILI NA NI TUMAINI LANGU WAMEELEWA.

USHAURI:
NINGEPENDA HAWA DSA WATOKE KATESHI/SINGIDA MANA NDO HASA KITUO CHA KAZI KILIPO HATA ARUSHA SIO MBAYA ILA KUTOKA MAENEO MENGINE UTAJIPIMIA MWENYEWE MANA. HOPE NIMEELEWEKA.
NIWASHUKURU TENA WALE MLIOONYESHA MOYO WA KUTAKA KUFANYA KAZI NA BANKI YETU( Banc ABC).
 
Dhuluma tu! Sababu watu wana njaa watafanya ila ni uonevu na unyonyaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom