Direct cost diploma maalumu udom

Direct cost diploma maalumu udom

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
951
Reaction score
412
Ebanaee.... Kwa wale tunaongia mwaka wa pili diploma maalumu udom issue ya direct itakuwa kama mwaka jana au itakuwajee? maana mwaka jana walitukata kwenyee boom.


Kwahiyo mwenye taarifa na hii issue atujuze maana mtaani huku pesa hamna bora watuambiee kama watatukata tena au tupambane kuitafuta hiyo pesa.....

.....mwenye taarifa nalo atujuze....
 
Samahani kiongozi mimi cna taarifa ila nimepangiwa udom special deploma naomba unijuze mwaka jana mkopo mliupataje chuoni au mliomba kabla hamjaenda NAPENDA KUTANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWAKO KIONGOZI
 
Tuliomba kabla ya kwenda chuoni, na kuna baadhi walioombeaa tulipokuwa tumewasili chuoni.
 
samahan wakuu iv huo mkopo unaweza ku2mika sehem gan?kama ni fees,hostel au money za kujkim.mweny kujua msaada?
 
Back
Top Bottom