Candid Scope JF-Expert Member Nov 8, 2010 11,883 6,884 Apr 30, 2012 #1 Je habari hii ina ukweli au kutafuta vichwa vya kuuza magazeti?
joramjason JF-Expert Member Jul 15, 2011 425 132 Apr 30, 2012 #2 Kuuwawa au kujiua hapo kuna tatizo kdg atkw alikunywa sum ya panya baada ya kuskia kifo cha msanii mwenzake Kanumba
Kuuwawa au kujiua hapo kuna tatizo kdg atkw alikunywa sum ya panya baada ya kuskia kifo cha msanii mwenzake Kanumba
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Apr 30, 2012 #3 Nadhani Nape ni kati ya watu wasio na umuhimu wowote katika dunia hii.
Higash JF-Expert Member Oct 1, 2010 839 149 Apr 30, 2012 #4 Magamba ndo zao kuwekeana sumu kwe misosi, mara taulo! Ni noma.
Ta Kamugisha JF-Expert Member May 17, 2011 3,536 2,187 Apr 30, 2012 #5 Siku zake zinaesabika kama vipi atafute hati ya kuwa mkimbizi wa kisiasa nchini Zanzibar atapokelewa
kivyako JF-Expert Member Feb 2, 2012 14,341 12,045 Apr 30, 2012 #6 Anataka kupandisha grafu ya umaarufu, hana impact yoyote ktk jamii
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,416 Apr 30, 2012 #7 Who iz nape by the way..?? What is him..??
taffu69 JF-Expert Member Feb 26, 2007 2,094 538 Apr 30, 2012 #9 Huyo ni kama gunia tupu ambalo haliwezi kusimama peke yake bila kushikiliwa
Mbimbinho JF-Expert Member Aug 1, 2009 8,315 7,731 Apr 30, 2012 #10 Jsaudi said: Nadhani Nape ni kati ya watu wasio na umuhimu wowote katika dunia hii. Click to expand... We lazima utakuwa mchawi tu..!
Jsaudi said: Nadhani Nape ni kati ya watu wasio na umuhimu wowote katika dunia hii. Click to expand... We lazima utakuwa mchawi tu..!